Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Itabidi uwepo nyumbani sasa muda si mrefu napita hapoYaani ulikaribia home kabisa dah !
Itabidi uwepo nyumbani sasa muda si mrefu napita hapoYaani ulikaribia home kabisa dah !
Ni tamu kweli, hutojutia nakwambia.
Supermarket 11,000/= bila makato wala tozo
Au tukuchangie?








DAh
Hapana msinichangie,
Kesho nikipita nitajaribu kujilipua ninunue.
Natambua juhudi zenuDAh
Juhudi zetu hazionekani?
Ukinunua na ukaiselfie hapa. ISO atafurahi sana
















Yako iko wapi?Habari zenu ?
Selfie hazionekani zimekua adimu sana. Yaani kwa tochi
Siku nyingine ukipita hiyo mitaa we nishtue tu binti yanguItabidi uwepo nyumbani sasa muda si mrefu napita hapo

Juhudi zetu ni kama tunatwanga maji kwenye kinu 😂 Huelewi kitu aiseeNatambua juhudi zenu
Bado Mimi tu sasa kujilipua
Sijui itakuwa lini
ISO atafurahi,tena anaweza hata kujitoa kimasomaso kunipa lift nikanunue![]()
ipo kwenye simu, yako je ?Yako iko wapi?
Juhudi zetu ni kama tunatwanga maji kwenye kinuHuelewi kitu aisee
Hebu mfurahishe ISO basi![]()


juhudi zenu zilishazaa matunda




nguvu zenu hazijapotea bure,amini nawaambia.Hebu iweke, me sijapiga.ipo kwenye simu, yako je ?
Hata hivyo Selfie yangu ntaweka kwa avatar, sitaogopa kubreak kificho teh teh teh teh
Sawa safari ijayo karibu tenaYes nilikuwa lamadi chief.nimekula sana samaki hapo
nyingine tupia mkuu
Mkuu acha janja janja we tupia huku unapiga bukuKuu Aaah mkuu wew mbona zako hutupiagi aiseewell mambo yamekuwa magum nipo nakula kitabu usiku kuna mtu kameza sarafu
View attachment 1879152
Fisher leo umefika selfika!?!!View attachment 1879142
Kazi kazi mpaka usiku mrefuuuu