Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,887
- 141,523
Hahahaha.......😀😀😀😀Utamuua 😆😆
Mme umefufuka?😁😁😁
[emoji1787]Cha kuwahi pichaKitengo gani tena?[emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23]Humu stori ni nyingi kuliko picha,ngoja nitupie hii picha yangu moja niliyopigwa jana nilipotua duniani.
View attachment 1878831
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila uzi unaweka kijiwe cha mvinyo [emoji23] yaan na siku ukiunywa utatapika nakwambia
Cc. ISO M.CodD
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hajawahi kunywa, nilishamchagulia saint Anna ni tamu lakini kutwa kuijadili [emoji23] au basi akwende kwa Altar wine, ila haijaandikwa alcohol percent ni kama tu non alcoholic.
Nasikia Altar wine ndio inatumia altareni [emoji23] atest hiyo.
Huyu binti msumbufuuu Saint Anne sana.
Hiyo dompo Kuna mtu niliona anakunywa,inanuka kama mavi, siwezi hata kutia mdomoni.
Mimi nilishasema humu siwezi kulewa.Dompo mtamuokota [emoji1787]
Tena zile za vidumu nakwambia hata glass mbili hatoboi
Nataka nimkuze na azoee kwa haraka. Akifuzu ndiyo tunampa akina Hennessey[emoji3]
[emoji23]Utamuua [emoji38][emoji38]
where have you been??
Hahahhaha, sawa bhagheshi nduhu tabhu gheteBageshi. Nagūbona. Gashinaga ūtalī gayanda gado gīkī? Sabaga nkoyi duze dūlye sinonu [emoji16][emoji16][emoji1545][emoji1545]
Ni tamu kweli, hutojutia nakwambia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii picha uliweka yaani inanisukuma sana kununua hii pombe.
Chupa yake inavutia Sana[emoji7],tofauti na chupa za sodaView attachment 1878926
Weka na yako basi...
Nipo sana tu Gerald....where have you been??
mimi na wenzangu tulikumiss
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Yes nilikuwa lamadi chief.nimekula sana samaki hapoUlikuwa lamadi ?