Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,150
- 137,126
Hahahaha.......😀😀😀😀Utamuua 😆😆
Mme umefufuka?😁😁😁
Kitengo gani tena?![]()
Cha kuwahi pichaHumu stori ni nyingi kuliko picha,ngoja nitupie hii picha yangu moja niliyopigwa jana nilipotua duniani.
View attachment 1878831









,tofauti na chupa za sodaHajawahi kunywa, nilishamchagulia saint Anna ni tamu lakini kutwa kuijadiliau basi akwende kwa Altar wine, ila haijaandikwa alcohol percent ni kama tu non alcoholic.
Nasikia Altar wine ndio inatumia altareniatest hiyo.
Huyu binti msumbufuuu Saint Anne sana.




Hiyo dompo Kuna mtu niliona anakunywa,inanuka kama mavi, siwezi hata kutia mdomoni.
Mimi nilishasema humu siwezi kulewa.Dompo mtamuokota![]()
Tena zile za vidumu nakwambia hata glass mbili hatoboi
Nataka nimkuze na azoee kwa haraka. Akifuzu ndiyo tunampa akina Hennessey![]()
Utamuua![]()

where have you been??
Hahahhaha, sawa bhagheshi nduhu tabhu gheteBageshi. Nagūbona. Gashinaga ūtalī gayanda gado gīkī? Sabaga nkoyi duze dūlye sinonu![]()
Ni tamu kweli, hutojutia nakwambia.
Hii picha uliweka yaani inanisukuma sana kununua hii pombe.
Chupa yake inavutia Sana,tofauti na chupa za sodaView attachment 1878926
Weka na yako basi...
Nipo sana tu Gerald....where have you been??
mimi na wenzangu tulikumiss
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Yes nilikuwa lamadi chief.nimekula sana samaki hapoUlikuwa lamadi ?