Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Hahahaha.......😀😀😀😀Utamuua 😆😆
Mme umefufuka?😁😁😁
Cha kuwahi pichaKitengo gani tena?
Humu stori ni nyingi kuliko picha,ngoja nitupie hii picha yangu moja niliyopigwa jana nilipotua duniani.
View attachment 1878831
Hajawahi kunywa, nilishamchagulia saint Anna ni tamu lakini kutwa kuijadili au basi akwende kwa Altar wine, ila haijaandikwa alcohol percent ni kama tu non alcoholic.
Nasikia Altar wine ndio inatumia altareni atest hiyo.
Huyu binti msumbufuuu Saint Anne sana.
Hiyo dompo Kuna mtu niliona anakunywa,inanuka kama mavi, siwezi hata kutia mdomoni.
Mimi nilishasema humu siwezi kulewa.Dompo mtamuokota
Tena zile za vidumu nakwambia hata glass mbili hatoboi
Nataka nimkuze na azoee kwa haraka. Akifuzu ndiyo tunampa akina Hennessey
Utamuua
where have you been??
Hahahhaha, sawa bhagheshi nduhu tabhu gheteBageshi. Nagūbona. Gashinaga ūtalī gayanda gado gīkī? Sabaga nkoyi duze dūlye sinonu
Ni tamu kweli, hutojutia nakwambia.
Hii picha uliweka yaani inanisukuma sana kununua hii pombe.
Chupa yake inavutia Sana,tofauti na chupa za sodaView attachment 1878926
Weka na yako basi...
Nipo sana tu Gerald....where have you been??
mimi na wenzangu tulikumiss
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Yes nilikuwa lamadi chief.nimekula sana samaki hapoUlikuwa lamadi ?