Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanaita Bomu. Karanga, mihogo, nazi na karoti inapigwa mixer
IMG_20210730_001152.jpg
 
Na mudu toboa international siiishii Local,

Kula bata bitch kama sita siishii Coco,

Ma saa 6 nipo studio siishiwi vocal,

Ma ngosha kwa Rap game ndiyo tunalimudu soko,



Soon natupia cover ya nyimbo yangu humu inaitwa na MUDU nahitaji support yenu

 
Na mudu toboa international siiishii Local,

Kula bata bitch kama sita siishii Coco,

Ma saa 6 nipo studio siishiwi vocal,

Ma ngosha kwa Rap game ndiyo tunalimudu soko,



Soon natupia cover ya nyimbo yangu humu inaitwa na MUDU nahitaji support yenu

Safi kabisa
 
Ukapita bila kuchungulia pale? Nilipitapo juzi kati kwa mguu nikachekaa rohoni 🤣🤣
Next weekend nitakuwa ununio beach
Nilipita hapa jana jioni! Niko ununio sasa hivi.
Machakani hadi ununio ni chocho kwa chocho imooo 😂
 
Back
Top Bottom