Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20210728_174849_3.jpg

Waswahili wanasema ukipenda boga penda na ua lake, na ukitaka kuruka sharti uagane na nyonga.

Nimeanza rasmi mazoezi ya kuogelea, nikifuzu nitachapa mawimbi hadi Zanzibar, haiwezekani huu mwezi wa 4 Chakorii hapatikani. Wacha nimfate huko huko Zanzibara 😄

CC
Sky Eclat naona kazi ya ushenga imekushinda Bibi, si unajua upweke kwetu sie wazee unatuua Mapema. Fanya mpango huyu mwali aje Bara 😅
 
Tumepunguza mno kuselfika! Shida nini wadau.. Kumbukeni si lazima sura.. Hata upaja tu ulionona[emoji39][emoji16] ruksaaa! Au zile za kubinua kishoes![emoji3][emoji3][emoji3] kwa wanawake tu lakini au guu kama la ankal wangu Chakorii , au komwe kama la mjukuu wangu cocastic [emoji16]! Vp kuhusu kiuno nyigu cha Depal [emoji23][emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Cocastic ban yake haiishi tu? 😂

Jiselfie kitambi basi
 
Back
Top Bottom