Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Jamanii jamaniHapa ujue nakulia timing wewe, nishapitwa mara zote huko nyuma...remember??? Hahahah
Kutuma hapa siwezi tena jamani! Labda kama kuna aloscreen shot akutumie pm
Jamanii jamaniHapa ujue nakulia timing wewe, nishapitwa mara zote huko nyuma...remember??? Hahahah
Mbona niliweka mwanzoni huko niliifuta bada ya kuchimbiwa mkwara wassap kwamba nije kuitoa ngoja akili zangu za heineken zikinituma nitakuja kuweka tena baba wa mtoto mzuri![]()
Jamanii jamani
Kutuma hapa siwezi tena jamani! Labda kama kuna aloscreen shot akutumie pm




Naomba niruke
Sidanganyiki dada angu boss lady
Mamaaa kama ni macho hayo ukweli mi cna

Hapa ujue nakulia timing wewe, nishapitwa mara zote huko nyuma...remember??? Hahahah
I would appreciate if it comes from you personally dear...Jamanii jamani
Kutuma hapa siwezi tena jamani! Labda kama kuna aloscreen shot akutumie pm
vipi tena mzee?(Mungu ni Msiri) sana.!!!!
Poa chambo icho... Ndoana ikinasa...... Yataonekana manyoya tuu...
... Kausha
hapana mkuu nakupinga ukianza kuconfese wewe mme wa 200 yaliyo nyuma ya pazia wewe utachomwa moto alafu yeye atabaki nakuapiaDaaa kuoa mwanafunzi aliemaliza chuo halafu anaviwango vya tbs yataka moyo sana...yani wametumika balaa,mume unaweza kua mtu wa 200 kwenye mwili wake![]()