Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.

Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.

Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Babuuh iv gari yangu bado tyuuh, haijaja nchini?
Sitaki kesi
IMG-20210521-WA0116.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom