Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akili zako huwa unazijua wee mwenyewe.
Haya ni mambo ya kushangaza kidogo.
Huko Daslam wanaume wanakula chips kama chakula,tena ukute ni dinner!na wanalala tu vizuri?!

I hope mchumba wangu Jack Palladino hayupo kwenye hilo kundi[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.

Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.

Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Babuuh iv gari yangu bado tyuuh, haijaja nchini?
Sitaki kesi
IMG-20210521-WA0116.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom