Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
DuhView attachment 1793216
Najiuliza hii sheria ya kukata hivi ndala ili tusitoroke nazo ilipitishwa na Bunge hili hili au lingine??![]()





Ila jaman dar kuna vyakula vingine mie siwezi khaah, chips mie hat in a ladha gan sijui.Haya ni mambo ya kushangaza kidogo.
Huko Daslam wanaume wanakula chips kama chakula,tena ukute ni dinner!na wanalala tu vizuri?!
I hope mchumba wangu Jack Palladino hayupo kwenye hilo kundi
Sent using Jamii Forums mobile app
Babuuuuh sitaaki rangi hii, nataka rangi nyeupe,
Chips kama chips ni tamu sana ila tatizo zinaleta njaa na hazina nguvu.Ila jaman dar kuna vyakula vingine mie siwezi khaah, chips mie hat in a ladha gan sijui.
,




.Hapo cha-cha, afu nina mshawasha wa kukanyaga mafuta, babe wangu akuje jaman tyuuh aaah
Kheeeeeh mbna inaogopesha mno.Utalii huu
Hawa watu wamenifanya nisisimke mwili kwa uoga.View attachment 1793274
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbeya pazuri jamani lol.
Jaman mie chips hata kujaribu siwezi, na vile huwa mafuta mafuta, akaaaah,Chips kama chips ni tamu sana ila tatizo zinaleta njaa na hazina nguvu.
Yaani mtu anakula chips halafu analala usingizi kabisa,
Huku mikoani ni mwendo wa ugali/wali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah!Jaman mie chips hata kujaribu siwezi, na vile huwa mafuta mafuta, akaaaah,
Hapo kwa ugali sasa, mie hunitoi.
Lugha...mojawapo ya maajabu ya Homo Sapiens. Kuweza kuchukua dhana (dhahnia) na kuiwakilisha kwa sauti za nasibu...Manini!?![]()