Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nashinda shamba mkuu,make up ya nini?

Yesu wangu,ona napewa sifa si zangu
Hebu tuma kwanza ya yule dada tuone.

Sent using Jamii Forums mobile app
Then do it sometimes, huwezi jua unaweza kutana na baharia akakuzingatia kesh yake akatangaza ndoa

Looh wewe kataa lakini kama ni kukata rufaa niko tayari. Unayakataa mwenyewe mahips yako leo ?, Usilete utani hapa unakumbuka kuna pich ulituma unasema
" yani mimi nitembee hivi mimi " ulikua umejaza humo pemben kama kondoo wa sufi.
 
Then do it sometimes, huwezi jua unaweza kutana na baharia akakuzingatia kesh yake akatangaza ndoa

Looh wewe kataa lakini kama ni kukata rufaa niko tayari. Unayakataa mwenyewe mahips yako leo ?, Usilete utani hapa unakumbuka kuna pich ulituma unasema
" yani mimi nitembee hivi mimi " ulikua umejaza humo pemben kama kondoo wa sufi.
Yaani kwamba baharia kesho yake atangaze ndoa?


Kuhusu picha yaani boss basi utakuwa na makengeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdogo wangu Cocastic alisema hajaona matege
IMG_20210520_105316_4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom