herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,982
- 3,248
🤣🤣🤣Kaka acha tu, nlipanga nvae suti, ko sikuwa na namna, kwa bahati mbaya umeme ulikuwa umekatika , ikanibidi niitinge hvyohvyoBoss hii shati ilitafunwa na ng'ombe ndio ukavaa nini?
🤣🤣🤣Kaka acha tu, nlipanga nvae suti, ko sikuwa na namna, kwa bahati mbaya umeme ulikuwa umekatika , ikanibidi niitinge hvyohvyoBoss hii shati ilitafunwa na ng'ombe ndio ukavaa nini?
Kaka acha tu, nlipanga nvae suti, ko sikuwa na namna, kwa bahati mbaya umeme ulikuwa umekatika , ikanibidi niitinge hvyohvyo





ngoja nikuandalie proposal basiUtafiti kuhusu mie unaohusu nn, hebu weka maelezo yako vizuri, ili nijue natakiwa kutoa majibu ya namna ipi au kuhusu nn.
Basi tupo wawiliWee pedesheee ndama unakosaje hela? Hakuna maskini humu JF, zaidi yangu mie.
Bas sawa nasubiri hapa.ngoja nikuandalie proposal basi
kwel yan... 😎acha zako wee
Muongo weekwel yan...![]()
Huu mchuma nao uko njema, ngoja nivunje
VICOBA
UPATU
MKOPO BANK
SACCOS
nivute kitu![]()



vunja boss wangu ufanye kuweka adabu townHuogopi hapo kupita usikuYeah niko Kitonga muda huu ila nimepata breakdownView attachment 1774778
Ameeeen, na mie nakuombea babuuuh kipendhiih,Hapana..Mungu yu pamoja nami
Poleeeeh sana babuuh, omba msaada bas bas na wew lol.mjukuu.. Jamaa wananipita tu.. Hapa nillipo na palivyo wananiona kama mzimu
... Katikati ya kitonga msitu huku na kule jamaa niko pekeyangu nje ya gari
View attachment 1774796