Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huu mchuma nao uko njema, ngoja nivunje
VICOBA
UPATU
MKOPO BANK
SACCOS

nivute kitu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vunja boss wangu ufanye kuweka adabu town
 
Wasalimie huko, iringa wapi town au?
Yeah niko Kitonga muda huu ila nimepata breakdown
JPEG_20210506_003405_2933344834638038588.jpg
 
Ameeeen, na mie nakuombea babuuuh kipendhiih,
[emoji8][emoji8][emoji8] mjukuu.. Jamaa wananipita tu.. Hapa nillipo na palivyo wananiona kama mzimu[emoji3]... Katikati ya kitonga msitu huku na kule jamaa niko pekeyangu nje ya gari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji8][emoji8][emoji8] mjukuu.. Jamaa wananipita tu.. Hapa nillipo na palivyo wananiona kama mzimu[emoji3]... Katikati ya kitonga msitu huku na kule jamaa niko pekeyangu nje ya gari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1774796
Poleeeeh sana babuuh, omba msaada bas bas na wew lol.
 
Back
Top Bottom