Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kule nyuma unakuta mtu anakaa seat ya watu wawili,amejitanua Kama yake pekeyake..hata ukienda kukaa hajiongezi kukaa vizuri.nimecheka km mwehu wallah
Hivyo vitu huwa vinanikera Sana...ili kuepuka kero ni aidha nikae mbele ama nikae nyuma seat ya dirishani.






