cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
jaman jaman me na wewe ni ndugu vile fanya uilete basi😁wee siri yangu na muhusika.
Ukija tu smell yake inatanda jukwaa Zima🤣umejuaje sasa lol
Iv unaumwa... Nisamehe mkuu hata sijui









ila nyie Jah fundi, cheki akivoumba pale, 







Kahoma tu kamenibana.Iv unaumwa... Nisamehe mkuu hata sijui
Shida nini tena
bas ndo unapoharibu mlo wee cc.Pole dada
ooh pole..
Ukija tu smell yake inatanda jukwaa Zima![]()




wee unaelekea kubaya sasa tutazinguana.Utafiti wangu umeletwa picha yake,jaman jaman me na wewe ni ndugu vile fanya uilete basi![]()





😂😂😂sijamaanisha wewe ila itakuwa mods wanaifungulia tuuwee unaelekea kubaya sasa tutazinguana.
Tunataka utafiti kuhusiana na wewe aseeeUtafiti wangu umeletwa picha yake,![]()
sijamaanisha wewe ila itakuwa mods wanaifungulia tuu




jifanye mjanja hivyo nakuchora tyuuh.Mie sasa muhusika kakataa, mbna ningetoa mda sanaTunataka utafiti kuhusiana na wewe aseee
Jaman jaman... Me sio mjanja😎jifanye mjanja hivyo nakuchora tyuuh.
Bas relaaaaaax, maisha mafupi haya.Jaman jaman... Me sio mjanja![]()
Vile vile marefu ukiwa huna hela...Bas relaaaaaax, maisha mafupi haya.