Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaaaaa!!!ngoja ntakutumia dadaa!!
Acha kabisa wanafunzi wananichosha hatari na mambo mengi mnoo!staki kunenepa tena Mimi jamani maana last year nilibongekaa mpk walijua nna mimba watu!
Tuone picha za mwakajana[emoji7]


Mimi nilivyo na hasira sidhani kama ningeweza kuwa mwalimu[emoji1787]
Yaani napoteza nguvu halafu watoto wengine kumbe hata hawasikilizi[emoji38]

Walimu mbarikiwe sana aisee
 
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Mama Ray na Vero [emoji8][emoji8]
Unaonekana binti mdogo[emoji7]
Nikiwa mkubwa natamani nimaintain mwili namna hiyo.


Naona mahindi pembeni yameshakomaa.
Hahahah!!ulijuaje hayo majina ya wanangu!!!umeniita exactly navoitwa aseehh!
Mmama Mimi kabisa wa two kids !!kupungua ni nidhamu tu!Mimi sinywi pombe nashukuru kwa hilo!Niko above 33!
 
Hahahah!!ulijuaje hayo majina ya wanangu!!!umeniita exactly navoitwa aseehh!
Mmama Mimi kabisa wa two kids !!kupungua ni nidhamu tu!Mimi sinywi pombe nashukuru kwa hilo!Niko above 33!
Aiseee[emoji119][emoji119]
Yaani wewe tukisimama pamoja Mimi naonekana mmama wakati umenizidi miaka 10[emoji119][emoji119][emoji119]
Hongera Sana ticha[emoji2960]

Kumbe nimepatia kuita jina eeh[emoji7],
Kuna sehemu niliona ulielezea kuhusu hii username yako kwamba ni wanao.

Tuone na hizo picha za mwakajana[emoji4]
 
Karibuni tule
ice_2021-04-13-22-15-09-839.jpg
 
hehehehhehehe unacheka my tattoo....wanyakyusa hatuko nyuma bana



nna tattoo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Yaani hicho ndicho kinachonichekesha.
Ila umetuwakilisha vyema homeboy..

Ila wanyakyusa na tattoo wapi na wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sikutegemea yaani[emoji1787]
 
Yaani hicho ndicho kinachonichekesha.
Ila umetuwakilisha vyema homeboy..

Ila wanyakyusa na tattoo wapi na wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sikutegemea yaani[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujamaind??

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujamaind??

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Yaani nilivyoona picha nikacheka weee..nikajikaza bila kucomment.
Amekuja karma ni Kama amenitekenya[emoji1787]nikaporomosha cheko lote kwa comment[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mwee Kalumbu ifindu ifyo mma fyoma
 
Back
Top Bottom