Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Tuone picha za mwakajanaHahaaaaa!!!ngoja ntakutumia dadaa!!
Acha kabisa wanafunzi wananichosha hatari na mambo mengi mnoo!staki kunenepa tena Mimi jamani maana last year nilibongekaa mpk walijua nna mimba watu!

Mimi nilivyo na hasira sidhani kama ningeweza kuwa mwalimu

Yaani napoteza nguvu halafu watoto wengine kumbe hata hawasikilizi

Walimu mbarikiwe sana aisee







