Ila kumbuka tu utawala umebadirika na kila utawala mwingine unapoingia Tanzania sharti la kwanza Yanga lazima atandikwe bao kuanzia 4 mpaka 6 na Simba.
Ipo hivyo tangu enzi za utawala wa kwanza wa nchi hii na tawala zilizofuata ilikuwa hivyo, itakuwa hivyo pia chini ya utawala wa mama.
Jiandae kisaikolojia