Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi unadhani nazipenda Basi
Nilikuwa namjaza upepo...
Pulizii...wazazi wangu washapiga mahesabu ya hao ng'ombe.
Fanya kunitumia picha PM..

Huyu Lizarazu sikisi pakisi zake zisikutishe.
mdogo wangu usichezee bahati hiyo achana na Lizarazu hakufai huyo nenda kwa wanaume wanaojielewa kama hao hivi mbona nilishakufunda lakini hausikii unataka kuniaibisha mimi dada yako?? Nitaambia nini watu mimi jamani??
 
mdogo wangu usichezee bahati hiyo achana na Lizarazu hakufai huyo nenda kwa wanaume wanaojielewa kama hao hivi mbona nilishakufunda lakini hausikii unataka kuniaibisha mimi dada yako?? Nitaambia nini watu mimi jamani??
Hivi unadhani naweza kuziacha ng'ombe 70 ziende?
Hivi unadhani naweza kwenda kwa bondia Yule Lizarazu...hunipendi eeh!

Siwezi nikakuangusha...nakumbuka mahusia yako.
 
Back
Top Bottom