Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Abeeee@troublemaker
Abeeee@troublemaker
Ndio boss.
Jichukulie tu! MachoMacho sasa
Katoto kama mimiSaint anna nadhani hatudaiani tena..
View attachment 1222874
Jidanganye tu... Mwenzio muhengaKatoto kama mimi
Asante sana jamaniJichukulie tu! Macho
Nasubiri aje aone jinsi unavyotamani kumyoa hazardAbeeee
Jamanii dada...mi nimetolea tu mfano
Uko poa??Abeee
Wewe ni shemeji yangu kuanzia sasa !!!Hivi unadhani nazipenda Basi
Nilikuwa namjaza upepo...
Pulizii...wazazi wangu washapiga mahesabu ya hao ng'ombe.
Fanya kunitumia picha PM..
Huyu Lizarazu sikisi pakisi zake zisikutishe.
Siyo ulipanga uliaga kabisa na ukaapa....



Hivi unadhani nazipenda Basi
Nilikuwa namjaza upepo...
Pulizii...wazazi wangu washapiga mahesabu ya hao ng'ombe.
Fanya kunitumia picha PM..
Huyu Lizarazu sikisi pakisi zake zisikutishe.



mdogo wangu usichezee bahati hiyo achana na Lizarazu hakufai huyo nenda kwa wanaume wanaojielewa kama hao hivi mbona nilishakufunda lakini hausikii unataka kuniaibisha mimi dada yako?? Nitaambia nini watu mimi jamani??



Kuna kimbunga kilipita kikanibeba kinanileta.Siyo ulipanga uliaga kabisa na ukaapa....![]()


Lizarazu njoo bageshi. Shusha siksi paki zingine shemeji anataka kutukimbia humuAcha Mambo yako
Mimi sirudi Tena humu ujue.
We Haya tu


Ni mimi hapa dada yakoJamanii dada...
Umesema nani ngederee
Unabadili gia angani jamani dadaNi mimi hapa dada yako
Hahahaaa mwaka huo nisingekua hapa jf.Picha ya mwaka 47?
Hivi unadhani naweza kuziacha ng'ombe 70 ziende?mdogo wangu usichezee bahati hiyo achana na Lizarazu hakufai huyo nenda kwa wanaume wanaojielewa kama hao hivi mbona nilishakufunda lakini hausikii unataka kuniaibisha mimi dada yako?? Nitaambia nini watu mimi jamani??
![]()










