Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
nkamu


nkamu...ulipo??nkamu![]()
Haki Morogoro ni kubwa kuliko Tanzania.jamani nilikaa kwenye gari kutoka dar to moro Town..moro Town mpka ifakara,ifakara tu mlimba.mlimba tu ndani ndani huko..jamani jamani waaaahiii uvumilivu ukanishinda ikabidi nimuulize jirani yangu “samahani dada eti tunaenda mbinguni”kha!!
Ila Morogoro kubwa jamani daah
Yeah Mungu akijalia na yeye mwenyewe akiwiwa basi tutafahamiana! Haya mambo ya kusambaziana picha ndiyo yanatuponza wengine mi nimejipostia zangu status mtu anaiba anasambaza mwisho wa siku mi ndiyo naonekana mbaya sema nashukuru Mungu alinielewa tukayamaliza!
😆😆 Haya bhana ngoja tuone😄😄😄
Siyo wajeuri mbona mi nawaonaga mna akili zilizochangamka tu
😁😁😁😁hakika sijawahi kujua kama ninachoandika wakati mwingine kina kuwa kimekaa kikomedi😄😄
Si waona sasa vituko vyako
Nimerudi sasa hivi. Siondoki labda litokee jambo ila kwa sasa nipo humu
Umerudi mazima au ndiyo umekuja kuchungulia tu kisha utoke mbio tena
Poa mdogo wangu
Hahahaa...!!!nipo dear!usijali utaniona!!ukiamka nishtue niselfie!!
Mzigua90Excuse my camera. View attachment 1748612
Awèeee. Nimerudi broYou ve been missed...!!!
Ndio mkuu