Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Na hivi sipendagi wali ni bora umeisha kwakweli.nakujašNjoo nikusongee ugali na wifey wangu Behaviourist coz wali umeisha šš
Na hivi sipendagi wali ni bora umeisha kwakweli.nakujašNjoo nikusongee ugali na wifey wangu Behaviourist coz wali umeisha šš
Nchi yenyewe imekaa kikamanda ChiefDuuh! Mwendo wa kikamanda
Umesahau tupo na mama tena macho.....Nchi yenyewe imekaa kikamanda Chief
Wewe mfuatilie tu anavyoongea ndo utajua ni kamanda ama si kamandaUmesahau tupo na mama tena macho.....
Anajitutumua tu, maana ukiwa pale mbele lazima mkwara uwepo ila, si anona kuna wahuni wanamyemeleaWewe mfuatilie tu anavyoongea ndo utajua ni kamanda ama si kamanda
Jezi itakuponza mkuu![]()
Mkwara unasaidia sana Hebu tuone ila binafsi nikimwangaliaga ananvyoongea naona ni kamanda ila anatumia sauti ya bluzi kuongoza gwarideAnajitutumua tu, maana ukiwa pale mbele lazima mkwara uwepo ila, si anona kuna wahuni wanamyemelea
Here i am.

Nimekumiss pia. Umefichwa na nani sijuiNimekumiss
Yule jamaa aliniacha hoi aise kha nilikosa jibu la kumpa ikabidi nimwambie vile hakukuwa na namna



Mimi sina minyaa kwa watoto tu!Mimi sinaga kinyaa cha rejareja lakini kwa hicho kitoweo cha huyo masta...hapana aiseh![]()

Hivi kumbe mkeka unatengenezea barabara..safi.
Aise barabara mbovu inakatisha tamaa sana kha tulikaa saa zima








Na wewe umemisika sanaa


. I appreciate dearNi ndefu utafikiri Treni ya TAZARA.
Waaahii ilinishinda..halafu kuna siku nilikwenda mlimba nikakukumbuka sana
Aiseh ni kweli kabisa ninamkubali mno na anajua ninamkubali sana.akianza kutoa ushauri kwa kuandika gazeti navuta kiti na mahindi naanza kuchoma..ananondo sana.hana tofauti sana na Heaven Sent katika uandishi
Sikupanda treni nisafiri na bus kwenda na kurud..ingawa changamoto ya barabar ilikuwa ni kubwa kwa sababu ya Mvua kunyesha.hapo tulikwama karibu saa zima.next time nikienda itabidi nipande tren niende nikashinde bar kabisaView attachment 1748531
Nawakubali sana mtende na heaven sent..ila HS sijawahi kumwambia kwakuwa hatujakuwa na muingiliano wa karibu.wakianza kutoa ushauri natafuta kiti kikowapi naanza kuchoma na mahindi kabisa...maana najua naenda kusoma nyundo za maana.yap mimi na mtende tunainteract..nje ya hapa hapana lakini naimani kuna siku nitakuja kufahamiana nae.kikubwa uzima.mtende na HS ni watu wanaonibariki mno na ndio watu ninaotamani kuonana nao nje ya JF. Mtende na Heaven Sent ninawakubali na kuwapenda sana