Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20210410_181854.jpg
ni dawa tosha ya uzazi wa mpango
 
Dah wewe siyo mvumilivu aiser.
Haitakiwi uachane na mtu kizembe

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Haman kaka ako mkwepu nampenda mpk kesho nampenda....

Na nilicho kiamua kwake ni kwasababu sikutka aje awe kama hyo jamaa....nimuumize alafu baadae anilaumu sikutaka ilo limtokee

Leo langu alikuwa kuachna nae ila kuwa karibu na mimi kama marafiki walio na future baadae lakn akuniamini
 
Haman kaka ako mkwepu nampenda mpk kesho nampenda....

Na nilicho kiamua kwake ni kwasababu sikutka aje awe kama hyo jamaa....nimuumize alafu baadae anilaumu sikutaka ilo limtokee

Leo langu alikuwa kuachna nae ila kuwa karibu na mimi kama marafiki walio na future baadae lakn akuniamini
Dah

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Aise Poleni..nitajaribu siku nyingine nikipata safari ya huko.ingawa nilifurahi sana kuona maji yakiporomoka kutoka milimani.mbele ya chita ukivuka sijui jeshin Mungu babaaa sina kumbukumbu vizuri.

Taratibu utazoeana nae haikuwa kazi ya siku moja kumwambia jinsi ninavyomkubali kwahiyo taratibu taratibu naimani kama unamkubali basi ipo siku.

Unajua pia si kazi rahisi sana kuruhusu watu mliokutana mitandaoni wakujue nje ya mitandao so ninaelewa mtu akiwa mgumu kukutana na mtu wa mitandaoni.
Hata kama ni wewe au mimi sio kazi rahisi sasa aise..hayakawii kutokea yale kuanza kurushiana picha watu..

Ila Morogoro kubwa jamani daah

Yeah Mungu akijalia na yeye mwenyewe akiwiwa basi tutafahamiana! Haya mambo ya kusambaziana picha ndiyo yanatuponza wengine mi nimejipostia zangu status mtu anaiba anasambaza mwisho wa siku mi ndiyo naonekana mbaya sema nashukuru Mungu alinielewa tukayamaliza!
 
Hahaha nahivi mimi ni feminist mwenzio, lazima tupendane tu lol.






Hahaha kwa hiyo mdogo angu unashindwa kuelewa utanianzia wapi? Yani hadi nimecheka, umejuaje kama mimi ni mgumu kuamini watu? Tuombe uzima mdogo angu, nitafanya njia tuonane kwa kweli. Hii ni ahadi ya kweli sio kama ile yakupost picha humu.

But thanks for the compliment nkamu, it means a lot. Kwa kweli huwa unanibariki sana kwenye nyuzi zetu za kupambana na wale watesi wetu; nikikuona tu roho yangu kwatu. Especially kipindi kile ukiwa Marianah, yaani huwa unanikonga moyo. ukianza kubishana hadi nasema eeeh damu ya kinyaki. Ubarikiwe.

Dada sisi siyo mafeminist ila ni vile tu wanaume wa jf wakiishiwa hoja ndiyo wanatumia hilo neno kama defensive mechanism

Nakukubali sana dada yangu mzuri mzuri nkamu gwangu nawe ubarikiwe mpaka ushangae. Daah siku nikikuona sijui nitafurahije aise ila ndiyo najua siyo leo wala kesho wala mwaka huu.

Nilimaanisha hadi ufahamiane na mtu basi ni umempenda sanaaa au umemuamini sanaaa. Ndiyo maana mimi nikawa nawaza sijui nakuanzaje.

Au niendelee kumtazamia Bwana
 
Back
Top Bottom