Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
🤣🤣🤣🤣🤣Itapendeza zaidiAiseee mwisho nitakuwa msumeno kabisa![]()
🤣🤣🤣🤣🤣Itapendeza zaidiAiseee mwisho nitakuwa msumeno kabisa![]()
Utupiamo tuone ukinyoa unakuwaje 😊Najua kunyoa pia
Najua kunyoa pia
Kwa sie ambao tushapitapita makanisa ya kilokole tunajua fika jibu la hili swali😂🤣Wala...
Wa hovyo tu.
Ulishawahi kuona wapi walokole warembo bongo hii?
Ni huyo nani....!!🏃
Usije kuwa umepita makanisa ya dar.Kwa sie ambao tushapitapita makanisa ya kilokole tunajua fika jibu la hili swali![]()









🤣🤣🤣🤣Kumbe Kuna tofauti?!Usije kuwa umepita makanisa ya dar.
Mimi nipo makanisa mbeya ndani ndani huku +kukulia kijijini woooi![]()
Town Sana tu..Kumbe Kuna tofauti?!
Ila si nasikia Mbeya town siku hizi
Tungekuwa hatujakuona labda lakini sio kwa bode Hilo kwa kweli 😂Town Sana tu..
Tatizo Sio mbeya..tatizo Ni Mimi
Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu 😂😂😂Kuwa mwembamba bora ubaki chibonge, mi mwenyewe wembamba hapana
Ngoja tuwasakue mabaharia wakuje wachukue jiko
Hivi we umekula mchana? Umeoga? Kila nikipita kuchungulia nakukuta 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Kumbe Kuna tofauti?!
Ila si nasikia Mbeya town siku hizi
Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu
Saint anne twin ona hawa wadadawanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke.
Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh![]()
Kwa kweli sijala Ila kuoga niliogeshwa na mvua ya jana..Hivi we umekula mchana? Umeoga? Kila nikipita kuchungulia nakukuta 😂😂😂😂
Nilijua tu yaaniSio kweliii
Mwembamba kwenye vinyama kwa mbali 😂We sio mwembamba bhana kile kitako bado nakikumbuka ujue
Pulisic na Lizarazu walishatusifia.Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu
Saint anne twin ona hawa wadadawanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke.
Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh![]()





Mzee si ulisema mpk zifike page 500😆😆😆Saint anna nadhani hatudaiani tena..
View attachment 1222874
Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu
Saint anne twin ona hawa wadadawanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke.
Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh![]()