Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,781
🤣🤣🤣🤣🤣Itapendeza zaidiAiseee mwisho nitakuwa msumeno kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣Itapendeza zaidiAiseee mwisho nitakuwa msumeno kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utupiamo tuone ukinyoa unakuwaje 😊Najua kunyoa pia
Najua kunyoa pia
Kwa sie ambao tushapitapita makanisa ya kilokole tunajua fika jibu la hili swali😂🤣Wala...
Wa hovyo tu.
Ulishawahi kuona wapi walokole warembo bongo hii?
Ni huyo nani....!!🏃
Usije kuwa umepita makanisa ya dar.Kwa sie ambao tushapitapita makanisa ya kilokole tunajua fika jibu la hili swali[emoji23][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣Kumbe Kuna tofauti?!Usije kuwa umepita makanisa ya dar.
Mimi nipo makanisa mbeya ndani ndani huku +kukulia kijijini woooi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Town Sana tu..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe Kuna tofauti?!
Ila si nasikia Mbeya town siku hizi
Tungekuwa hatujakuona labda lakini sio kwa bode Hilo kwa kweli 😂Town Sana tu..
Tatizo Sio mbeya..tatizo Ni Mimi
Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu 😂😂😂Kuwa mwembamba bora ubaki chibonge, mi mwenyewe wembamba hapana
Ngoja tuwasakue mabaharia wakuje wachukue jiko
Hivi we umekula mchana? Umeoga? Kila nikipita kuchungulia nakukuta 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Kumbe Kuna tofauti?!
Ila si nasikia Mbeya town siku hizi
Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Saint anne twin ona hawa wadada [emoji23] wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke.
Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh [emoji23][emoji23]
Kwa kweli sijala Ila kuoga niliogeshwa na mvua ya jana..Hivi we umekula mchana? Umeoga? Kila nikipita kuchungulia nakukuta 😂😂😂😂
Nilijua tu yaaniSio kweliii
Mwembamba kwenye vinyama kwa mbali 😂We sio mwembamba bhana kile kitako bado nakikumbuka ujue
Pulisic na Lizarazu walishatusifia.Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Saint anne twin ona hawa wadada [emoji23] wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke.
Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh [emoji23][emoji23]
Mzee si ulisema mpk zifike page 500😆😆😆Saint anna nadhani hatudaiani tena..
View attachment 1222874
Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Saint anne twin ona hawa wadada [emoji23] wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke.
Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh [emoji23][emoji23]