Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,620
- 69,356
Hahaha utafanya kisima kikauke wewe,Wengine hata majasho yetu yananukia![]()
Hahaha utafanya kisima kikauke wewe,Wengine hata majasho yetu yananukia![]()
Mbona unavujisha Siri Sasa jameni 😩🤣 🤣😂😂 anatafute mke itakuwa
Nimeona...Saint anna nadhani hatudaiani tena..
View attachment 1222874
Saizi nishatoka kibaruani jamaniUtupiamo tuone ukinyoa unakuwaje![]()
ZoteHahaha zipi?
😆😆Hakitakauka milele lakiniHahaha utafanya kisima kikauke wewe,
Ohooo dah!Saizi nishatoka kibaruani jamani
Haya njoo ijichukulie hilo embe.. ujilie na chumbi kama unaona halijakomaaNa msimu wa maembe machanga ndo huu eeeh
NdiwoooNilijua tu yaani










Mchaga na pombe ni =roho na mwiliThanksNimeona...
Umenoga
Macho sasaSaint anna nadhani hatudaiani tena..
View attachment 1222874
@troublemakerNajua kunyoa pia
Muda wote huo awe hajapata tu???anatafute mke itakuwa
Mmhh ila na yeye si ni mzuri lakini??Huyu anaponda kupitiliza. Hamnaga mtu mzuri kwake kirahisi.
Siku akisifia mtu hadi watu wengine wanashangaa maana ye hasifiagi kabisa
Nani gedere etiKweli hapo hata sijui na mimi nimefikiria nini!! Yaani eti nimepeleka kesi ya nyani kwa ngedere nikitegemea eti ngedere atakuwa upande wangu!!
Usijali wembamba ni bora kuliko ubwenyenye.......Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu
Saint anne twin ona hawa wadadawanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke.
Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh![]()








Haya tuuOhooo dah!
Basi kesho