Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

USD 10= Tsh 23000.
20210407_093919.jpg
 
Yaani mida kama hii mimi ndio kunakucha
Ni kupuliza Moto hadi asbh

Mimi hadi njiani natembea nasoma,hadi nafika karibia na chumba Cha mtihani ndio naweka samare yangu kwenye ndoo ya taka.
Kiujumla sijawahi ridhika kukaa bila kusoma aisee..
Hiyo ni tangu naanza kusoma hadi namaliza.
Huo mtindo nilikua nao advance level, yaan nasoma had karibia na mlango afu ndo natupa ki memo changu,

Kwangu msuri wa advance ulikua balaaah, sijui huko mbele mambo yatakuaje.
Ila Elimu bhana ni hatareeeeh.
 
Huo mtindo nilikua nao advance level, yaan nasoma had karibia na mlango afu ndo natupa ki memo changu,

Kwangu msuri wa advance ulikua balaaah, sijui huko mbele mambo yatakuaje.
Ila Elimu bhana ni hatareeeeh.
Mimi hiyo tabia nilikuwa nayo tangu olevel hadi namaliza chuo.
Nilikuwa nasoma hadi kwenye daladala siku za mitihani.
 
Back
Top Bottom