Sina hamu jinsi ulivyonitelekeza visiwani, Kama ulikuwa unaogopa kesi ya mauaji ningekupa wakili kabisa na ushahidi ningeutoa mahakamani ๐. Kwamba nilitaka mwenyewe damu changa ๐๐๐๐ป
Mtakatifu mwenyewe nawasiwasi naye, isije kuwa mwaka mzima anafunga na kuomba huku akiacha suala muhimu lililotuunganisha. Mambo ya kupimiwa huduma napenda basi!๐
๐