Wazaz wangu wamezaa twins mara 2, mara ya pili walizaa 3 twins bahat mbaya m1 alichukuliwa na jah pindi alipozaliwa tyuuh, wamebaki 2.
Twins wana raha mno.
Fraternal baba hausiki kwa sababu mayai kutoka ovary ya kushoto na kulia huundergo ovulation kwa pamoja so mama ndio mhusika hao identical sina uhakika bado.
Mamangu anamapacha kwahiyo na mimi nikae kimkakati sio.kwenye ukoo wetu kuna uhaba wa watoto wa kike..natamani kuja kufyatua vipacha vya kike😁😁.ila ile shughuli mama aliyokuwa anaipata kipindi kile...kwakweli bwana asimame