Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa kweli sijala Ila kuoga niliogeshwa na mvua ya jana..
Sema Leo njaa naisikia kwa mbaaaliii maana picha sio kama Jana & juzi aisee🤣🤣
Naona mganga anawalisha juu kwa juu, hivi unaijua njaa wewe 😂😂
Kula lazima kuoga hiari
 
Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu


Saint anne twin ona hawa wadada wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke.

Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh
Pulisic na Lizarazu walishatusifia.
Hao wengine hawana madhara.

Mimi nimewaona,sema nimevaa miwani ya mbao...hawanitishi
 
Naona mganga anawalisha juu kwa juu, hivi unaijua njaa wewe 😂😂
Kula lazima kuoga hiari
Nahisi mganga anatulisha kwa Bluetooth ya asili🤣🤣
Halafu mwanaume hupaswi kuogaoga tu kila saa...wengine tunataka tuwe na ngozi za mamba kama azipendazo kapeace😂😂
 
Khaaaa kwahiyo mimi mwenyewe huniamini sasa unafikili sakayo ataniponda ndugu yake
Kweli hapo hata sijui na mimi nimefikiria nini!! Yaani eti nimepeleka kesi ya nyani kwa ngedere nikitegemea eti ngedere atakuwa upande wangu!!
 
Back
Top Bottom