Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Amiin mama. Msalimie sana Erick
Ulivyosema boss lady nimecheka nikakumbuka pia, kuna siku Erick kanipigia whatsapp video ananiambia tuonane basi natata nikumiliki maana nishazoea bankers, account clerks, wamiliki wa maduka ya nguo ila sijawahi kumiliki md, mkurugenzi.
InshaAllah maneno yenu yakawe heri kwangu nitakuwa bosslady na mmiliki wa kiwanda kama bakhressa.
 
Jamani.
Hukuona yeye alivyonimwagia sifa kwa kitrump chake matata kile Hadi nikahisi malaika ,kumbe Ni kimbaombao tu Cha vijijini huku

Nikaona nisiwe mchoyo wa fadhila ,nikamlipa kwa kumsifia haswaa.

Lizarazu ona unataka kupoteza ng'ombe huku.
Kwa siksi paki za Lizarazu we kwisha habari yako. Ikiwezekana niruhusu tu nianze kukuita shemeji kwa sababu hakuna namna. Mi na hawa ng'ombe wangu acha tupambane na hali zetu
 
Mzigua90 huyu kolo atuachie timu yetu
20191003_171853.jpeg
 
Kwa siksi paki za Lizarazu we kwisha habari yako. Ikiwezekana niruhusu tu nianze kukuita shemeji kwa sababu hakuna namna. Mi na hawa ng'ombe wangu acha tupambane na hali zetu
Hivi unadhani nazipenda Basi
Nilikuwa namjaza upepo...
Pulizii...wazazi wangu washapiga mahesabu ya hao ng'ombe.
Fanya kunitumia picha PM..

Huyu Lizarazu sikisi pakisi zake zisikutishe.
 
Back
Top Bottom