Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Halafu nilijua tu chaumbea wangu uniquote uje uniulize






Nani alikuchimba biti jamaniii.... mbavu zanguu mimi jamani
Halafu nilijua tu chaumbea wangu uniquote uje uniulize






Nyingine subiri nilewe halafu pombe zikiniisha nakuja kufuta
Weeeh naachaje ili nifanye starehe gani Heineken ilivyo tamu nijikute tu niacheHahahaha ulisema umeacha wew
Niambie jamani
KhaaaAcha uongo dada
NdiwoooKhaaa
Unapenda sana kuchart kigori tanguu huu uzi uwekwe sikuoni kabisa kwenye nyuzi nyingine. Imefika hatua nikikumiss nalazimika kuja huku kama hivi.Hivi tunazungumzia nini eti jamani
Hahaha...nigga this's joke is on you!!Daaa kuoa mwanafunzi aliemaliza chuo halafu anaviwango vya tbs yataka moyo sana...yani wametumika balaa,mume unaweza kua mtu wa 200 kwenye mwili wake![]()
Andika kisukuma..Amateur diplomat haha

Unaweka sangapi ili niwe nachungulia chunguliaHahaha nikirudia kuiweka tena haitakupita
Weeeh naachaje ili nifanye starehe gani Heineken ilivyo tamu nijikute tu niache
Andika kisukuma..
Hizi nyingine tutachanganya humu![]()
Handsome nipo kwenye nyuzi zingine!!Unapenda sana kuchart kigori tanguu huu uzi uwekwe sikuoni kabisa kwenye nyuzi nyingine. Imefika hatua nikikumiss nalazimika kuja huku kama hivi.
MUNGU wanguSayai



Nani alikuchimba biti jamaniii.... mbavu zanguu mimi jamani
Hahahaa. Nitafutieni tu mume. Bata zangu mie sio za gharama maana nalipiwa kila kitu hata msione wivu sio hela yangu ile. Unene unapungua mwaya. Nakimbia nipungue kidogo. Sema sipendi wembamba pia

Hata mimi nasubiria notsi za jibu la swali hili....





Watu8 bana kumbe unasoma kimya kimya tuu akii