cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,289
- 187,945
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan wee acha tyuuh.Yani huko vyuoni kuna walimu wana roho ngumu sana wanasababisha baadhi ya wanachuo wawe na depression hahaha!
[emoji14][emoji14][emoji14][emoji7][emoji7][emoji7]Wizoooo unanipanga sasaBado haijanishinda[emoji23]..
Wewe nipe muda
Leo nilitingwa sana...
Mkwepu lazima aje hapa [emoji2960]
Utakuwa wizoo wangu mimi jamania[emoji2956][emoji126][emoji126][emoji126]
Yaani ukiwa chuoni depression kawaidaYani huko vyuoni kuna walimu wana roho ngumu sana wanasababisha baadhi ya wanachuo wawe na depression hahaha!
[emoji134]
Happy birthday kwake[emoji171]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji14][emoji14][emoji14][emoji7][emoji7][emoji7]Wizoooo unanipanga sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee cc bhana lol.[/QUOTEMimi nikawa na imagine,mfano ingenitokea hivyo mwaka was mwisho wallah nahisi ningeacha shule[emoji25]
Kurudi tena mwaka mwingine hapana kwa kweli...watataka tuzeekee vyuoni Bwana[emoji1787]
Ukiwa hujawahi kupata sup unaweza ona haya mambo simple. .siku ukiiipata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila maisha ya chuo jamani lol, huwa naomba sana Jah asaidie, nisipate sup, wala ku carry, ku disco najua haiwezi kuwa kamweeeh.
Mtu anasota chuo utadhan kaweka kambi khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchumba..
Ni nini hicho??
Ntumie ka foto basi mwali 😻[emoji3][emoji3] [emoji2][emoji2]
Tulia wewe hakuna mwanaume asiekunywa pombe....kikubwa uvumilivu hahahaha, mdogo wangu hapo yupo kwenye njia sahihi. Maisha yafaa nini bila pombe?Ni nini hicho??
Ni wewe kweli?
[emoji174]