cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,301
Yaan wee acha tyuuh.Yani huko vyuoni kuna walimu wana roho ngumu sana wanasababisha baadhi ya wanachuo wawe na depression hahaha!
Bado haijanishinda..
Wewe nipe muda
Leo nilitingwa sana...
Mkwepu lazima aje hapa
Utakuwa wizoo wangu mimi jamania![]()





Wizoooo unanipanga sasaYaani ukiwa chuoni depression kawaidaYani huko vyuoni kuna walimu wana roho ngumu sana wanasababisha baadhi ya wanachuo wawe na depression hahaha!

Happy birthday kwake

ila wee cc bhana lol.[/QUOTEMimi nikawa na imagine,mfano ingenitokea hivyo mwaka was mwisho wallah nahisi ningeacha shule
Kurudi tena mwaka mwingine hapana kwa kweli...watataka tuzeekee vyuoni Bwana![]()
Ukiwa hujawahi kupata sup unaweza ona haya mambo simple. .siku ukiiipataila maisha ya chuo jamani lol, huwa naomba sana Jah asaidie, nisipate sup, wala ku carry, ku disco najua haiwezi kuwa kamweeeh.
Mtu anasota chuo utadhan kaweka kambi khaaaah![]()








nilipata sup,ndio ikawa Mara ya kwanza na ya mwisho,


Mchumba..

Ni nini hicho??
Ntumie ka foto basi mwali 😻



Tulia wewe hakuna mwanaume asiekunywa pombe....kikubwa uvumilivu hahahaha, mdogo wangu hapo yupo kwenye njia sahihi. Maisha yafaa nini bila pombe?Ni nini hicho??
Ni wewe kweli?
