Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,729
Mkuu uko MSD ??
Number zinakimbia kwa kasi sana.Aiseee tumeshafika DVT ??
Acha tuendelee kumtazamia Bwana
Kweli Vyuma havijakaza wallahNumber zinakimbia kwa kasi sana.
Nani Mabeyo Au ??
KarmaNani Mabeyo Au ??
Sisi wetu akikunasa nyavuni ndo unamjua alivyo
Anasema Kama umeshindwa kufaulu somo lake semester nzima miezi minne,haamini Kama unaweza kulifaulu kwa wiki moja ya supplementary..
Yaani haoni shida darasa zima kurudi September
Na mkirudi kuchomoka ni Kama Mungu tu..aki ya nani sitamani tena shule![]()




huyo kibokooh khaaaaah. Hapana kwa kweli. 🙈🙈🤣Wacha bwana! Na hiyo USER 552140 (number yangu ya usajili jf) inafanya nini hapo!View attachment 1723594
Hapo swadakta!haya ya mume wa mtu yanakujaje tena lol.
Jamani khaaaaah, haya sawa umeeleweka. Mweeeeeh
Imeisha hiyoooooohHapo swadakta!