Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tabasam langu siku ukinikubalia!
76543321.jpg
 
Sisi wetu akikunasa nyavuni ndo unamjua alivyo

Anasema Kama umeshindwa kufaulu somo lake semester nzima miezi minne,haamini Kama unaweza kulifaulu kwa wiki moja ya supplementary..

Yaani haoni shida darasa zima kurudi September
Na mkirudi kuchomoka ni Kama Mungu tu..aki ya nani sitamani tena shule
huyo kibokooh khaaaaah. Hapana kwa kweli.
Afu ukute mtu anasema chuo simple tyuuh, mwendo wa kula bata, huwa najiuliza vyuo hivi hivi au mie ndo sielewi. Lol
 
Back
Top Bottom