Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekumbuka advance Sir wa math, alikua ana kigugumizi sasa hasira na gubu ndo kwake, akiwa class akiongea au kuelezea kitu, sasa wanafunzi wakicheka atasema hivyo tutaktan kwenye test, chini ya 70 nafia mtu,

Bas atatoa test utakuta wa kwanza ana chini ya 70.. Jamani atatandika fimbo km chizi lol. Yaan class zima linanuka stick tyuuuh mweeeeh. Sitamsahau kamwee lol.
Sisi wetu akikunasa nyavuni ndo unamjua alivyo

Anasema Kama umeshindwa kufaulu somo lake semester nzima miezi minne,haamini Kama unaweza kulifaulu kwa wiki moja ya supplementary..

Yaani haoni shida darasa zima kurudi September
Na mkirudi kuchomoka ni Kama Mungu tu..aki ya nani sitamani tena shule
 
"Mimi nalisema nawe wakati wa kufanikiwa kwako; lakini ulisema, Sitaki kusikia. Hii ndiyo iliyokuwa desturi yako tangu ujana wako, kutokuitii sauti yangu"
#Yeremia 22:21

Baba turehemu
Mungu anirehemu
Kuna muda namzingua mno..natoka nje ya kanuni
He's the Lord of Mercy
 
Mama mchungaji,nime-zoom picha nimegundua upo njema sana idara flani hivi,na rangi ya chocolate,dah!?
Mungu fundi..
Screenshot_20210227-192707.jpg
 
 
Back
Top Bottom