Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

huyo kibokooh khaaaaah. Hapana kwa kweli.
Afu ukute mtu anasema chuo simple tyuuh, mwendo wa kula bata, huwa najiuliza vyuo hivi hivi au mie ndo sielewi. Lol
Yaani yule unadisco anakuona hivihivi.
Carry over yake usipokaza kusoma,usitegemee atakuokoa

Halafu haoni shida kutandika watu carry-over mwaka wa mwisho

Kuna watu walikuwa wanatia huruma jamani.. mtu unarudi kusoma chuo nwaka wa ziada kisa somo lake. .
Na vile umekaa chuo miaka miaka,unakuta hadi watoto uliowaacha chekechea wanakukuta chuo kikuu bado unasoma

Pona pona yake ufaulu UE ,asikukamate.
Ndio ule muda unaomba upate hata 'C' tuunaiomba ishuke ije Kama unavyoomba ufalme wa Mungu uje
 
Yaani yule unadisco anakuona hivihivi.
Carry over yake usipokaza kusoma,usitegemee atakuokoa

Halafu haoni shida kutandika watu carry-over mwaka wa mwisho

Kuna watu walikuwa wanatia huruma jamani.. mtu unarudi kusoma chuo nwaka wa ziada kisa somo lake. .
Na vile umekaa chuo miaka miaka,unakuta hadi watoto uliowaacha chekechea wanakukuta chuo kikuu bado unasoma

Pona pona yake ufaulu UE ,asikukamate.
Mshamba huyo anasababishia watu msongo wa mawazo.
 
Mshamba huyo anasababishia watu msongo wa mawazo.
We acha tujamaa hana huruma hata kidogo!mkavuu
Nikawa nawaza akinikamata mwaka wa mwisho aiseeningekufa kwa presha.
Yaani nimalize halafu nirudi tena kusoma carryover??badala mtu uwaze internship,unawaza kwenda kusoma carry

Kuna madogo watakuja kufa kwa presha hivihivi
 
We acha tujamaa hana huruma hata kidogo!mkavuu
Nikawa nawaza akinikamata mwaka wa mwisho aiseeningekufa kwa presha.
Yaani nimalize halafu nirudi tena kusoma carryover??badala mtu uwaze internship,unawaza kwenda kusoma carry

Kuna madogo watakuja kufa kwa presha hivihivi
Yani huko vyuoni kuna walimu wana roho ngumu sana wanasababisha baadhi ya wanachuo wawe na depression hahaha!
 
black is always beautiful
JamiiForums-271775570.jpg


Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Yaani yule unadisco anakuona hivihivi.
Carry over yake usipokaza kusoma,usitegemee atakuokoa

Halafu haoni shida kutandika watu carry-over mwaka wa mwisho

Kuna watu walikuwa wanatia huruma jamani.. mtu unarudi kusoma chuo nwaka wa ziada kisa somo lake. .
Na vile umekaa chuo miaka miaka,unakuta hadi watoto uliowaacha chekechea wanakukuta chuo kikuu bado unasoma

Pona pona yake ufaulu UE ,asikukamate.
Ndio ule muda unaomba upate hata 'C' tuunaiomba ishuke ije Kama unavyoomba ufalme wa Mungu uje
ila maisha ya chuo jamani lol, huwa naomba sana Jah asaidie, nisipate sup, wala ku carry, ku disco najua haiwezi kuwa kamweeeh.
Mtu anasota chuo utadhan kaweka kambi khaaaah
 
We acha tujamaa hana huruma hata kidogo!mkavuu
Nikawa nawaza akinikamata mwaka wa mwisho aiseeningekufa kwa presha.
Yaani nimalize halafu nirudi tena kusoma carryover??badala mtu uwaze internship,unawaza kwenda kusoma carry

Kuna madogo watakuja kufa kwa presha hivihivi
ila wee cc bhana lol.
 
Back
Top Bottom