Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
finally
Mwanzo mzurii...ukifikia kwenye kuweka miguu unitag mamiii
utasubiri sana!!!
Vidole huwa naweka sana tu sio mara ya kwanza leo
finally
Mwanzo mzurii...ukifikia kwenye kuweka miguu unitag mamiii
Dada mkubwa nae kaamua kutupia vitu!Alaaaaah,kwani sh ngapi!!![]()



Yaani yule unadisco anakuona hivihivi.huyo kibokooh khaaaaah. Hapana kwa kweli.
Afu ukute mtu anasema chuo simple tyuuh, mwendo wa kula bata, huwa najiuliza vyuo hivi hivi au mie ndo sielewi. Lol














unaiomba ishuke ije Kama unavyoomba ufalme wa Mungu uje



Nambie Ngosha
Akufukuzae hakuambii ondoka!😂😂
Mshamba huyo anasababishia watu msongo wa mawazo.Yaani yule unadisco anakuona hivihivi.
Carry over yake usipokaza kusoma,usitegemee atakuokoa
Halafu haoni shida kutandika watu carry-over mwaka wa mwisho
Kuna watu walikuwa wanatia huruma jamani.. mtu unarudi kusoma chuo nwaka wa ziada kisa somo lake. .
Na vile umekaa chuo miaka miaka,unakuta hadi watoto uliowaacha chekechea wanakukuta chuo kikuu bado unasoma
Pona pona yake ufaulu UE ,asikukamate.
We acha tuMshamba huyo anasababishia watu msongo wa mawazo.


jamaa hana huruma hata kidogo!mkavuu



ningekufa kwa presha.








Mambo vipi mkuuNambie Ngosha
Yani huko vyuoni kuna walimu wana roho ngumu sana wanasababisha baadhi ya wanachuo wawe na depression hahaha!We acha tujamaa hana huruma hata kidogo!mkavuu
Nikawa nawaza akinikamata mwaka wa mwisho aiseeningekufa kwa presha.
Yaani nimalize halafu nirudi tena kusoma carryover??badala mtu uwaze internship,unawaza kwenda kusoma carry
Kuna madogo watakuja kufa kwa presha hivihivi![]()
Bado haijanishindaSaint Anne mission impossible
..




MchumbaBado haijanishinda..
Wewe nipe muda
Leo nilitingwa sana...
Mkwepu lazima aje hapa
Utakuwa wizoo wangu mimi jamania![]()

Yaani yule unadisco anakuona hivihivi.
Carry over yake usipokaza kusoma,usitegemee atakuokoa
Halafu haoni shida kutandika watu carry-over mwaka wa mwisho
Kuna watu walikuwa wanatia huruma jamani.. mtu unarudi kusoma chuo nwaka wa ziada kisa somo lake. .
Na vile umekaa chuo miaka miaka,unakuta hadi watoto uliowaacha chekechea wanakukuta chuo kikuu bado unasoma
Pona pona yake ufaulu UE ,asikukamate.
Ndio ule muda unaomba upate hata 'C' tuunaiomba ishuke ije Kama unavyoomba ufalme wa Mungu uje
![]()




ila maisha ya chuo jamani lol, huwa naomba sana Jah asaidie, nisipate sup, wala ku carry, ku disco najua haiwezi kuwa kamweeeh. 



Kabisaaah yaan.Mshamba huyo anasababishia watu msongo wa mawazo.
We acha tujamaa hana huruma hata kidogo!mkavuu
Nikawa nawaza akinikamata mwaka wa mwisho aiseeningekufa kwa presha.
Yaani nimalize halafu nirudi tena kusoma carryover??badala mtu uwaze internship,unawaza kwenda kusoma carry
Kuna madogo watakuja kufa kwa presha hivihivi![]()





ila wee cc bhana lol.