cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
yaani watoto acha tu!
Kwenye maji haiponi.
Walishaua simu kibao...kitendo cha kugeuka tu kidogo simu ishazamishwa kwenye uji tena wa Moto..nilitoa harakasikujali hata km ni wa moto
Sent using Jamii Forums mobile app



khaaaaah wee lol

yaani watoto acha tu!
sikujali hata km ni wa moto

