Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Usijali mrembo
Siyo kabisaVipi wee sio m1 wapo?![]()

Ahaaaaa brazaaaaa,toa hiyo k-vant uliyoificha chini ya meza..kidding.
Hii ni Ruaha National Park?Njobeeeeee Jahpipo.View attachment 1715696View attachment 1715697
Hata mi nilimaanisha hizo hizo emojis. Kwamba ngoja nijifanye kama sijaziona yaani.Ni hizo emoj za kiss
Picha siku hizi siwezi kuweka
Mashostito zangu walishazamisha simu yangu kwenye ujiimekuwa kimeo zaidi ya mwanzo
Sent using Jamii Forums mobile app




Hata mi nilimaanisha hizo hizo emojis. Kwamba ngoja nijifanye kama sijaziona yaani.
Duuh pole! Nina imani yule shostito mkubwa handsome wangu hahusiki kabisa hapo!![]()





dah


..hata spika zilikufa baadaye zikafufuka



kwndrick alichukua simu yangu simpo simpo akaitupia kwenye ndoo ya maji......dah
Kumbe umejifanya hujaziona!!
Ngoja ntaziongeza zaidi..ntaongeza makorokocho kibao ili mtufuatilie movie yetu
Yule hahusiki..Kuna kengine yaani kamenitia hasara Sana..hata spika zilikufa baadaye zikafufuka
Camera imejaa ukungu
Sent using Jamii Forums mobile app





nilipata uchungu mkubwa sanakwndrick alichukua simu yangu simpo simpo akaitupia kwenye ndoo ya maji......nilipata uchungu mkubwa sana
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app



yaani watoto acha tu!
sikujali hata km ni wa motoKaribu Njombe.Aiseee nimependa mahali hapa
Hapana ni kimani waterfalls.Hii ni Ruaha National Park?
daaaaaahyaani watoto acha tu!
Kwenye maji haiponi.
Walishaua simu kibao...kitendo cha kugeuka tu kidogo simu ishazamishwa kwenye uji tena wa Moto..nilitoa harakasikujali hata km ni wa moto
Sent using Jamii Forums mobile app