Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,198
Usijali mrembo
Siyo kabisa[emoji23]Vipi wee sio m1 wapo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ahaaaaa brazaaaaa,toa hiyo k-vant uliyoificha chini ya meza..kidding.
Atachukua ukocha sasa
Hii ni Ruaha National Park?Njobeeeeee Jahpipo.View attachment 1715696View attachment 1715697
Achukue tuAtachukua ukocha sasa
Maana Jack ameacha pengo[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mi nilimaanisha hizo hizo emojis. Kwamba ngoja nijifanye kama sijaziona yaani. [emoji3][emoji3]Ni hizo emoj za kiss[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Picha siku hizi siwezi kuweka
Mashostito zangu walishazamisha simu yangu kwenye uji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imekuwa kimeo zaidi ya mwanzo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dahHata mi nilimaanisha hizo hizo emojis. Kwamba ngoja nijifanye kama sijaziona yaani. [emoji3][emoji3]
Duuh pole! Nina imani yule shostito mkubwa handsome wangu hahusiki kabisa hapo! [emoji2][emoji2]
kwndrick alichukua simu yangu simpo simpo akaitupia kwenye ndoo ya maji......[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nilipata uchungu mkubwa sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah
Kumbe umejifanya hujaziona!!
Ngoja ntaziongeza zaidi..ntaongeza makorokocho kibao ili mtufuatilie movie yetu[emoji23][emoji23][emoji23]
Yule hahusiki..Kuna kengine yaani kamenitia hasara Sana[emoji134]..hata spika zilikufa baadaye zikafufuka[emoji1787]
Camera imejaa ukungu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]yaani watoto acha tu!kwndrick alichukua simu yangu simpo simpo akaitupia kwenye ndoo ya maji......[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nilipata uchungu mkubwa sana
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Karibu Njombe.Aiseee nimependa mahali hapa
Hapana ni kimani waterfalls.Hii ni Ruaha National Park?
daaaaaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]yaani watoto acha tu!
Kwenye maji haiponi.
Walishaua simu kibao...kitendo cha kugeuka tu kidogo simu ishazamishwa kwenye uji tena wa Moto..nilitoa haraka[emoji86]sikujali hata km ni wa moto
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na hata milele Amina
Wacha wee [emoji23][emoji23]Siyo kabisa[emoji23]