Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Ati niniHakika nimeumia sana...leo ni siku ya majonz sana mwamba kuacha bia
sasa unaonaje tujipongeze angalau na tubia tuwili wili ili tuagane fresh
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app


Aiseeee!!...kwa hiyo umeacha kunywa bia kwa nguvu/msukumo wa kumpenda Saint Anne ?
Wife to be!..Aiseeee!!...kwa hiyo umeacha kunywa bia kwa nguvu/msukumo wa kumpenda Saint Anne ?
Unataka kumpenda huyu mpendwa kama nani yako?
Ooh!!vizuri sana mkuu.
Ahaaa siwezi kumuacha...amenikubali tayariOoh!!vizuri sana mkuu.
Maamuzi yako na yaheshimiwe na watu wote.
Ila usije badirika pindi pale utakapo mpata/kubaliwa na mpendwa wetu.
Vipi kwema lakini mkuu
heheheheh sema umetupoka memba kalumbu...
heheheheh sema umetupoka memba kalumbu...
uzuri bill anasema yy bado yupo yupo sana...hakika ananifurahisha mno
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app





Aiseee nimependa mahali hapaNjobeeeeee Jahpipo.View attachment 1715696View attachment 1715697