Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,670
- 50,988
Nenda kcmc hopsital pale pia inategemea na muda gani, kwa maana ya ukungu unatanda kimtindo muda na muda, wakati mzuri hutakuta ukungu ni mida ya jioni jioni hivi utapata view nzuri.Hivi nikipitaga Moshi nakuwa natizamia wapi sijui, sijawahi kuuona Mt. Kili kwa kutokea Moshi. Nilishawahi kuuona kwa Arusha - Njiro (kilele tu
Sent using Jamii Forums mobile app

..hata spika zilikufa baadaye zikafufuka





