Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248

Kumbe wenzie tuna mwaka wa Saba huu tunasubiri hizo picha
Mtu kama hamjui anaweza kudhani ataweka kweli
Mi hadi nishakata tamaa
Tena wewe nina surprise yako, ona hadi nimeropoka sasa







Aisee hiyo picha ikiwekwa basi Gerald atakuwa na nyota ya ajabu kuwahi kutokea jfAfu nyie mnafikiri kila siku nazingua eeh, ntawa-surprise![]()









Watu na nyota zao ooohAisee hiyo picha ikiwekwa basi Gerald atakuwa na nyota ya ajabu kuwahi kutokea jf
Sent using Jamii Forums mobile app
happy to hear.....shetani amkalie mbali aache tubaki na jackIla Yuko poa
Hahaha sasa kwani picha ina kitu gani jamani hadi nisikutumie? Itabidi siku nikiweka mnisindikize na kichambo juu![]()








tuma dada niwe mtu mwenye nyotaHahaha sasa kwani picha ina kitu gani jamani hadi nisikutumie? Itabidi siku nikiweka mnisindikize na kichambo juu![]()
Ha ha haaaa. Rafiki usinichekeshe!!!!Mimi simfikii hata robo.Nikimchora mtu naweza kujikuta namchora jini!