Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,296
Ndo zake mtakatifuMafuta ya upako😅😅
Ndo zake mtakatifuMafuta ya upako😅😅
😀onesha mfano
Mke
Jana uliniquote na ukafuta
Mimi bado ninaoHuu msemo uliondoka na waliopignia Uhuru.
Imagen najionaga niko nyuma sana kumbe kuna watu wanifikiria bhna


Ujinga wa hivyo nilishauacha tangu 2020..Umpendae ndio kashika funguo za mateso yako, kupenda ni kumpa mtu furaha yako.




😅😅😅😅😅ujue wewe ni chizi..mbona umemtaja huyo na si mwingine...ngoja nimuite..😄😄😀😀😀😀za kujinoa kama simba...
Kikubwaa andaa chakorii super cup chagua watu wako kama behaviorist panga siku mashindano yaanze..
Anza kujinoa😀😀
Imeisha hiyo😅😅Like father like daughter sio😀
Ulichokisema ni kweli na kinaumiza wengi sana,Ujinga wa hivyo nilishauacha tangu 2020..
Kuna mtu alishawahi nitesa,anajibu anavyojisikia..unamvumilia mtu mwaka mzima ukijua atabadilika kumbe wapi!
Nikajifunza tabia ya mtu huwezi ibadilisha..
Aisee siji kupenda tena kifala vile,nitampenda atakayenipenda..asiye thamini upendo unaachana naye..yanini nijipe presha ningali ni kijana mdogo sana,mbichi kabisa Tena Safi kabisa tayari kwa kuanza safari..ninayo nafasi..watu wapo wengi sana hii dunia![]()
Unakunywa lita ngapi za maji kwa siku?
Tatizo wanaume mkishagundua mnapendwa mnaanza jeuri.Ulichokisema ni kweli na kinaumiza wengi sana,
Tatizo moyo unapofia hapathaminiwi, mara nyingi.
Ona hii;
Sio mpka nimpende nataka ni pendwe na awe na vigezo fulani fulani!!
-nataka awe na sifa ninazo zihitaji tu, moyo kaa pembeni
Mfano wa sifa e.g
Mcha mungu, mwenye kujali, mkweli, sio mvivu etc.
Mambo ya Zenji.