Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Roho mbaya ni asili yangu ujue 😆😆😀😀😀wewe si unanifanyia roho mbaya siku hizi nitamalizaje sasa...
Roho mbaya ni asili yangu ujue 😆😆😀😀😀wewe si unanifanyia roho mbaya siku hizi nitamalizaje sasa...
Sasa hapo atawezana kwel kukata pande lanyamaWacha bhana![]()
Nataman kuita mtu....Roho mbaya ni asili yangu ujue 😆😆
Za juzi nadhani nilijibu quote zako zote..au kuna niliyoirika?My bad basi ni juzi,
Enwei ile uliyopost jana ni tamu gani?
Jipeleke tuone😄😄Sasa hapo atawezana kwel kukata pande lanyama
Ita wote lkni si kipenzi changu 😆😆😆Nataman kuita mtu....
Sema sipendi kuona talaka😁
Mtoe tu!mtatuua sasaw hatuna pa kupumua


Weee usiniambie...ni mpe namba yako akutumia chap kwa haraka!!😅😅😅
Nataka nijipatie hela hapa ya chapchap
Si ndo hapo sasaNyama yenyewe iko wap...
😁
Huyo ni Mungu... AseeeMtoe tu!
Hata Mungu aliupenda ulimwengu"AKAMTOA"mwanawe wa pekee.
Nyie ni nani tena jamani hadi msitoe![]()
Pole sana.Wapendwa wangu nahitaji maombi yenu maana naumwa malaria kali na damu imekuwa nyingiView attachment 1688075
😂daah...Weee usiniambie...ni mpe namba yako akutumia chap kwa haraka!!😅😅😅
Utakula mitama kijana ujue😅😅
Wapendwa wangu nahitaji maombi yenu maana naumwa malaria kali na damu imekuwa nyingiView attachment 1688075
Ukinilisha nitashiba🙄Utakula mitama kijana ujue😅😅
Haki nimemmiss kipenzi changu🥺🥺🥺sijui nanikamkaba kiasi hiki😅😅
Jf siami😂Ngoja nikupe namba ya sangoma ww utakuwa umerogwa na jirani yako baada ya ww kufanikiwa kununua zulia