Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtakatifu unapenda ukubwa wewe jamani...

Ngoja sasa ka umri kaja kasogee halafu hakuna namba yoyote uliyoipatia jibu mbona utaimba mapambiooo

Wewe niambie nisisahau kukuletea urojo mtakatifu

Kuna mwana JF yuko huku nitampa aje nao ili uwahi kuukula
aje haraka huyo mjf

Umri ndio huo ushasogea(34)
 
Tatizo wanaume mkishagundua mnapendwa mnaanza jeuri.
Unampenda mtu hadi unaanza kupingana na imani,unataka hadi kujaribu kuvunja baadhi ya misimamo uliyojiwekea...
Ah sema Mungu naye ana akili,akihundua unataka kutoka kwenye mstari basi lazima afanye namna aondoe kikwazo kinachotaka kukutoa kwenye line.

MUNGU atatimiza haja ya moyo wako,Muombe bila kuchoka.


Ila kuhusu bluetick huwa sijali kabisa.
Mtu akinibluetick mbona fresh tu,asiponijibu basi miaka na miaka itaenda baadaye nina utaratibu wa kufuta contacts ambazo zinaongeza ujazo kwenye simu yangu.
Mapenzi nsa imani vinashindana sana
 
Back
Top Bottom