Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Natabasamu nikikumbuka niliyoyasahu
Screenshot_20210128-185227_WhatsApp.jpg
 
Tatizo wanaume mkishagundua mnapendwa mnaanza jeuri.
Unampenda mtu hadi unaanza kupingana na imani,unataka hadi kujaribu kuvunja baadhi ya misimamo uliyojiwekea...
Ah sema Mungu naye ana akili,akihundua unataka kutoka kwenye mstari basi lazima afanye namna aondoe kikwazo kinachotaka kukutoa kwenye line.

MUNGU atatimiza haja ya moyo wako,Muombe bila kuchoka.


Ila kuhusu bluetick huwa sijali kabisa.
Mtu akinibluetick mbona fresh tu,asiponijibu basi miaka na miaka itaenda baadaye nina utaratibu wa kufuta contacts ambazo zinaongeza ujazo kwenye simu yangu.
Ulikutana na ubavu wa kulia wa mwenzako sio wako
 
Mambo ya Zenji.

Wakati wa kurudi uniambie niweke nida yangu yenye 34yrs ili urudi kwa kuogelea.
Mtakatifu unapenda ukubwa wewe jamani...

Ngoja sasa ka umri kaja kasogee halafu hakuna namba yoyote uliyoipatia jibu mbona utaimba mapambiooo😆😆😆😆😆

Wewe niambie nisisahau kukuletea urojo mtakatifu😅😅😅

Kuna mwana JF yuko huku nitampa aje nao ili uwahi kuukula😅😅
 
Back
Top Bottom