Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,198
Na kamwili kangu haka kalivyo kadogo halafu nipigwe Tena[emoji134]hahaha Sina jeuri hio
Na kamwili kangu haka kalivyo kadogo halafu nipigwe Tena[emoji134]hahaha Sina jeuri hio
Simba walicheza kikosi B focus yetu ni kimataifa utopolo fc msubir kucheza na akina ndandaNdio tushawashinda hivyo[emoji108]
Mikia wapiga domo
sikupigi bna nitakupet pet 😂😂 utoe kucha bandia kwa hiariNa kamwili kangu haka kalivyo kadogo halafu nipigwe Tena[emoji134]
Maneno ya wakosaji hayo wapiga domo[emoji38][emoji38][emoji38]Simba walicheza kikosi B focus yetu ni kimataifa utopolo fc msubir kucheza na akina ndanda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe huyo[emoji38]sikupigi bna nitakupet pet [emoji23][emoji23] utoe kucha bandia kwa hiari
hahahahahaaa unaogopa kibao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe huyo[emoji38]
Nitavaa soksi haki ya nani
Mara ya mwisho sikumbuki nimepigwa miaka gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahahahaaa unaogopa kibao
natania usiogope mwanamke hapigwi vibao anapigwa na helaMara ya mwisho sikumbuki nimepigwa miaka gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kilanga komo chote fyaaaaaah.Mimi je[emoji23][emoji23]
Mwaka Jana ndio ilikuwa mara yangu ya Kwanza kubandika hizi kucha na nilibandika kwa influence ya rafiki yangu niliyeongozana naye..akanilazimishia na Mimi nikaweka..miguu ilikuwa mizito hatari , kwenye daladala mtu unasimama kwa wasiwasi[emoji134]haki urembo ni kazi jamani!
Kwanza picha limeanza nimeenda Church,ile katika harakati za kucheza kurukaruka si nikagongana na mtu[emoji38] akanikanyaga kidole cha mwisho[emoji21]nimekaa nashangaa damu inatiririka kidoleni.
Unaniangusha ivo wee cc ujue, aaaah hebu njoo unifundishe bhanaa.Huko kwenye PC ndio Niko mtupu kabisa[emoji38]
Babu vipi mbna unalia na kucheka?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji23]
Ana paka wake huyo, akilia myauuuuu...Day 2 [emoji818]View attachment 1676967
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kausha mkuuHakyamama tena ni kama nakufahamu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
nahamia down stairs 😂😂Unahamia kwenye nini sasa[emoji23][emoji23][emoji23]