Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Na kamwili kangu haka kalivyo kadogo halafu nipigwe Tenahahaha Sina jeuri hio

Na kamwili kangu haka kalivyo kadogo halafu nipigwe Tenahahaha Sina jeuri hio

Simba walicheza kikosi B focus yetu ni kimataifa utopolo fc msubir kucheza na akina ndandaNdio tushawashinda hivyo
Mikia wapiga domo
sikupigi bna nitakupet pet 😂😂 utoe kucha bandia kwa hiariNa kamwili kangu haka kalivyo kadogo halafu nipigwe Tena![]()
Maneno ya wakosaji hayo wapiga domoSimba walicheza kikosi B focus yetu ni kimataifa utopolo fc msubir kucheza na akina ndanda



sikupigi bna nitakupet petutoe kucha bandia kwa hiari



wewe huyo
hahahahahaaa unaogopa kibaowewe huyo
Nitavaa soksi haki ya nani
Mara ya mwisho sikumbuki nimepigwa miaka ganihahahahahaaa unaogopa kibao




natania usiogope mwanamke hapigwi vibao anapigwa na helaMara ya mwisho sikumbuki nimepigwa miaka gani![]()
Mimi je
Mwaka Jana ndio ilikuwa mara yangu ya Kwanza kubandika hizi kucha na nilibandika kwa influence ya rafiki yangu niliyeongozana naye..akanilazimishia na Mimi nikaweka..miguu ilikuwa mizito hatari , kwenye daladala mtu unasimama kwa wasiwasihaki urembo ni kazi jamani!
Kwanza picha limeanza nimeenda Church,ile katika harakati za kucheza kurukaruka si nikagongana na mtuakanikanyaga kidole cha mwisho
nimekaa nashangaa damu inatiririka kidoleni.





kilanga komo chote fyaaaaaah.Unaniangusha ivo wee cc ujue, aaaah hebu njoo unifundishe bhanaa.Huko kwenye PC ndio Niko mtupu kabisa![]()
Babu vipi mbna unalia na kucheka?
Ana paka wake huyo, akilia myauuuuu...
nahamia down stairs 😂😂Unahamia kwenye nini sasa![]()