Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Chakorii Saint Anne mkuje mnifundishe kuchezea game kwa me nashindwa.
FB_IMG_16106061574814616.jpg
 
Hakyamama tena mniombee nirudi..vinginevyo!!nitalowea kwa hawa watu..nimetekwa mimi jamani
wee dea hapana, yaan umelowea kwa wapemba kabisaaa? Karafuu na marashi vina kuwehusha?
"Kwa jina la JAH akuachie kipendhiiiiii urudi huku bara".

Ngoja na mie likizo ya March ntamuambia Mr mpare twende huko nijionee huo utekwaji.
 
wee dea hapana, yaan umelowea kwa wapemba kabisaaa? Karafuu na marashi vina kuwehusha?
"Kwa jina la JAH akuachie kipendhiiiiii urudi huku bara".

Ngoja na mie likizo ya March ntamuambia Mr mpare twende huko nijionee huo utekwaji.
We acha tu nimetekwa na vingi mieee...yakheee huko bara mtajanisikia tu(in .....’s voice )😄😄😄

Utaenjoy aiseh we ukuje tu na Mparee wako
 
Back
Top Bottom