Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,253
Wewe kwako utakuwa mkoloni sana ulifaa uwe mwalimu cha ajabu umesomea U brand manager


sasa mikononi kucha za bandia ntafanyaje kazi za nyumbani??Wengine mahousegelo tunashinda kufua kila siku

Halafu mm sijasoma mkuu.




haki urembo ni kazi jamani!
akanikanyaga kidole cha mwisho
nimekaa nashangaa damu inatiririka kidoleni.