Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,499
- 235,199
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa mikononi kucha za bandia ntafanyaje kazi za nyumbani??Wewe kwako utakuwa mkoloni sana ulifaa uwe mwalimu cha ajabu umesomea U brand manager
Wengine mahousegelo tunashinda kufua kila siku [emoji16]
Halafu mm sijasoma mkuu.