Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haki na umri huu bado ni mshamba kabisa wa hizi Kucha.kuna siku nilibandika nilijihisi kama mlemavu tu..ngiri sio ngiri basi tu maisha yalikuwa magumu mno
Mimi je
Mwaka Jana ndio ilikuwa mara yangu ya Kwanza kubandika hizi kucha na nilibandika kwa influence ya rafiki yangu niliyeongozana naye..akanilazimishia na Mimi nikaweka..miguu ilikuwa mizito hatari , kwenye daladala mtu unasimama kwa wasiwasihaki urembo ni kazi jamani!

Kwanza picha limeanza nimeenda Church,ile katika harakati za kucheza kurukaruka si nikagongana na mtu akanikanyaga kidole cha mwishonimekaa nashangaa damu inatiririka kidoleni.
 
Pombe taratibu naanza ipa talaka nisije kosa mke 😂
 

Attachments

  • IMG_20210114_115857_507.jpg
    IMG_20210114_115857_507.jpg
    134.9 KB · Views: 5
Back
Top Bottom