Umecheka mwenyewe

Asante sana mkuuKaribu
Kwahiyo utanipiga na hela au sionatania usiogope mwanamke hapigwi vibao anapigwa na hela

🤣🤣🤣 hayo maneno ya waswahili tuKwahiyo utanipiga na hela au sio![]()
Hiyo siku nilikuwa na vibe la kufa mtukilanga komo chote fyaaaaaah.



Tutaaanzia na snake xenzia hata usijaliUnaniangusha ivo wee cc ujue, aaaah hebu njoo unifundishe bhanaa.
Hicho kidole kumbe you're already taken aah mkuu🤔🤔
Nimecheka hicho kiswahwl kisha nikamhumia mhanga![]()




Mishikaki mi4 mkuu unamaliza? Kweli mwanaume wa mikoani 😜
Nataka uache kabisa mchumbaNapunguza mchumba Saint Anne View attachment 1677532
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app