Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Walimu tunaonewaMimi wa kwaya

Walimu tunaonewaMimi wa kwaya

Wewe unakunywa ila hututaki wenzio tunaokunywasitaki wanywaji

ndio muache kabisaaaaaaaa mwanamke mlevi ni karakana ya shetaniWewe unakunywa ila hututaki wenzio tunaokunywa![]()
Na mwanaume mlevi ni nani?ndio muache kabisaaaaaaaa mwanamke mlevi ni karakana ya shetani
usirudie Tena kuweka makucha ya kishetani hayo nitakuchapa vibaoMimi je
Mwaka Jana ndio ilikuwa mara yangu ya Kwanza kubandika hizi kucha na nilibandika kwa influence ya rafiki yangu niliyeongozana naye..akanilazimishia na Mimi nikaweka..miguu ilikuwa mizito hatari , kwenye daladala mtu unasimama kwa wasiwasihaki urembo ni kazi jamani!
Kwanza picha limeanza nimeenda Church,ile katika harakati za kucheza kurukaruka si nikagongana na mtuakanikanyaga kidole cha mwisho
nimekaa nashangaa damu inatiririka kidoleni.
devil's workshop ( Ila Mimi excluded kwakua ninaacha)Na mwanaume mlevi ni nani?
Rafiki yangu siku graduu kila mtu alibandika,mimi nani ningebisha?usirudie Tena kuweka makucha ya kishetani hayo nitakuchapa vibao





Na wewe umo hadi utakapoachadevil's workshop ( Ila Mimi excluded kwakua ninaacha)
Mimi nikikukuta umeweka hizo eidha umependeza ama hujapendeza haizuii wew kula vibao 🤣🤣🤣Rafiki yangu siku graduu kila mtu alibandika,mimi nani ningebisha?
Ila sio siri zinapenda kichizi sema tu zinakuwa mzigo
I'm fighting now mungu atatendaNa wewe umo hadi utakapoacha
kombe la mbuzi na debe la mchele bila kusahau katoni ya sayona
TobaaaMimi nikikukuta umeweka hizo eidha umependeza ama hujapendeza haizuii wew kula vibao![]()







Asante dear
HongeraI'm fighting now mungu atatenda
jiandae Labda unikimbieTobaaa
Mbona bado ninazofanya,sijazitoa![]()
Ndio tushawashinda hivyokombe la mbuzi na debe la mchele bila kusahau katoni ya sayona

Naona unanifukuza mapemajiandae Labda unikimbie

hahaha Sina jeuri hioNaona unanifukuza mapema![]()