Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
....................
....................
Yaani mie nataka kujua hizo tetesi zilisikika wapi yaaniZamani kulikuwa na binadamu pia..kwahiyo yawezekana ikawa kweli.
Mzee wa pwani wewe niandalie pweza.
Sijawahi kumuona kwa macho wala kula tangu nimezaliwa.
Mimi niliambiwa na mtu muislam.Yaani mie nataka kujua hizo tetesi zilisikika wapi yaani
Like kwenye biblia au vitabu vingine au wapi mfano mimi nikitaka kujua hizo habari nazipata wapi
Kumbe akiwa hai anatisha namna hiyo

Hili ni swali au statement?
Ninapata majaribu kama Yusuf haha, unajua kuna wanawake wazuri eeeh, unajua lakini?




Nipo kwenye majaribio ya surualiYaani mie nataka kujua hizo tetesi zilisikika wapi yaani
Like kwenye biblia au vitabu vingine au wapi mfano mimi nikitaka kujua hizo habari nazipata wapi


wewe mm nina 34 naelekea 35
Birth date yangu inaonekana humu kwenye Profile yangu




Oohh OkayMimi niliambiwa na mtu muislam.
Ko sujui ziko wapi, yawezekana zipo kwenye hadithi zao.
Kuna couple zingine ukiziangalia unagundua tu hazijawahi kutumia kingereza kwenye mahusiano yao
Vizuri sana kama ni kwemaKwema.
Nimeongezea comment yangu.Oohh Okay
Mimi nina 34
Hivi ule mwaka uliouandikaga ndiyo wenyewe kweli




Wala si kubwa.
Mbona kubwa sasa
mbona hii ni jeje..
Habari za asubuhi mpendwaNimeongezea comment yangu.
Isome tena
Mmhh SawaMimi niliambiwa na mtu muislam.
Ko sujui ziko wapi, yawezekana zipo kwenye hadithi zao.
Na Biblia pia inamuandika Yusuph Kama mtu mzuri na mwenye sura nzuri
Mnh siyo 32 kweliMimi nina 34
Ooh ingekuwa ya jeans ningeshangaaWala si kubwa.
Za vitambaa lazima ipywaye kidogo..haiwezi ikawa ndogo Kama jeans

