Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Sijui inaitwaje ila najua ya kitambaambona hii ni jeje..
..
utabisha manara
Sijui inaitwaje ila najua ya kitambaambona hii ni jeje..
..
utabisha manara
NzuriHabari za asubuhi mpendwa
NdiyoMmhh Sawa
Ni 34Mnh siyo 32 kweli
Sijambo mpendwaNzuri
Hujambo?
Ya jeans labda zile wanaita jeje.Ooh ingekuwa ya jeans ningeshangaa![]()
Naomba nikutakie wakati mwema Anne
Wee noopeTupia kapicha mkuu tuthibitishe![]()
Aaaaah waache upuuzi wao khaaaah.Mm sijui walisoma nini nini ila walikuwa wengi tu wanapinga
Ni Martin chegere, Nae sifa zake tulizisikia pale shule, alikua nondo haswaaaah.Yaani nilicheka hiyo siku
Ila huyo jamaa alivunja record ya kuwa the best kuanzia primary hadi chuo.
Dea bhanaaah bas sorry, tulikua tunazungumzia hao waliokua wanadharau na kukejeli jitihada za watu fulan ktk Elimu.Msitupigie kelele na fiziksi jaman..mbona mimi memkwa nilipata 99% na walaaa nimetulia zangu sitangazi injili![]()


.mwingine anasema ile mitihani ilikua mwepesi tu anasema physics ya mwaka 1970 mtu wa kwanza kitaifa ana 47%
![]()






daaaah huo uzi ni noumer khaaaah
Ndiyo daddy najua ila si ndiyo maana unatakiwa uchague mzuri mmoja maana wazuri hawaishi na hauwezi kuwamaliza wote ujue



Hebu unitag kwenye hizo nyuzi nijionee bas cc,Kuna Uzi mwingine nakwambia walikuwa wanajadili mtihani wa biology Mwaka jana,eti necta wanatoaje mtihani mrahisi vile eti necta ya form 6 wanauliza what is classification swali la form 2 wallah nilicheka Sana mtifuano wa mule ndani.
Hivi mbona watu huwa wanadharau sana jamani khaaaah.Niliona wanasema ile bios hata mtoto wa form two anaruka nayo![]()
Halafu sasa kwenye matokeo hiyo Bios imewaangusha wengi mnooh. Mwaka janaWanasema eti what is classification,what is cell,yaani maswali ya form 2 kabisa hayo
Hapo wamechukua tu swali moja ,na hata hilohilo bado unaweza usitoboe..mtoto wa form 2 aruke na paper ya form 6 advanced bios!!..watu wana mzaha Sana![]()
Yeaaaah mda tyuuuh.Kwani umesharudi?