Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Haiharibiki Ila ikikaa Sana inapoteza ubora Ila usifakamie tafadhali maana ni tamu Kama chaiNalewaje Sasa
Wewe nipe mi ntakunywa taratibu.
Kwani ikifunguliwa inaharibika nisipoimaliza?
Haiharibiki Ila ikikaa Sana inapoteza ubora Ila usifakamie tafadhali maana ni tamu Kama chaiNalewaje Sasa
Wewe nipe mi ntakunywa taratibu.
Kwani ikifunguliwa inaharibika nisipoimaliza?
Bora hata wanyaki wanachanganya na biazi kidogoHahahaha wanyaki bna mnapenda ugali bmkubwa nae dah anaeza kula ugali asbh mchana jion
Mimi siwezi kulewa mbona nilishasema humuHaiharibiki Ila ikikaa Sana inapoteza ubora Ila usifakamie tafadhali maana ni tamu Kama chai




Mie pia napenda ugali Ila Sasa isiwe Sana hata Kama chura anapenda maji Ila sio Sasa ya MotoBora hata wanyaki wanachanganya na biazi kidogo
Sisi hapa ni ugali mwanzo mwisho.
Mimi haipiti siku sijakula ugali.. kama sio mchana basi ni usiku.


Mzee wa pwani wewe niandalie pweza.Aseee![]()
Mimi siwezi kulewa mbona nilishasema humu![]()


wacha nicheke tu na vile Mimi kubishana na wew siwez nmechek ule Uzi wa eliasi wew binti yangu ni mbishi mnooooMie pia napenda ugali Ila Sasa isiwe Sana hata Kama chura anapenda maji Ila sio Sasa ya Moto![]()


hata Mimi napenda Kawaida tu!wacha nicheke tu na vile Mimi kubishana na wew siwez nmechek ule Uzi wa eliasi wew binti yangu ni mbishi mnoooo

Hapana mimi si mbishi ila huwa nasimamia ninachokiamini na si mtu wa kubadilisha msimamo hata iweje.Simba tutampiga kiholela hayo majamaa mpaka yasiamini
Mikia fcSimba tutampiga kiholela hayo majamaa mpaka yasiamini
Sema nimekukubaliHapana mimi si mbishi ila huwa nasimamia ninachokiamini na si mtu wa kubadilisha msimamo hata iweje.

vijana uliwapelekea Moto wakaanza toka povuMbona skuiona huyo jomoneeh mama mlezi,kuna comments ilinichekesha nilicheka ile siku tena ilikuwa usiku wa manane.
Aliandika"vichwa vya sayansi vinaondoka tu,juzi muddy physics yule ya mchikichini,Leo kihombo..eti janjajanja akina arts history wanazidi kudunda kwenye ardhi ya mola"
Yaani jf kuna kila aina ya kituko![]()






Mmeshaenda kuwapokea airport nyie yebo yeboMikia fc
Japo wengine walinichambaSema nimekukubalivijana uliwapelekea Moto wakaanza toka povu

Maombi muhimu Mr .Mmekumbuka kwenda kanisani?View attachment 1666551
Uzi ulikuwa na vitukoMbona skuiona huyo jomoneeh mama mlezi,![]()








Jomoneeeh mbona ni msituni lol,
Ilikua poa Sana Kuna jamaa fulani ulikua unambishia Mimi namjua ni mshua alikua rpc kahamia HQ alikuaga kule mkoa naoishi ni rafiki yangu alisemaga nimsetie jf isiwe inaupdate kwenye email nkaona user name yake ulimpelekea motooJapo wengine walinichamba
Ila na mimi sikuwaacha bure,,hadi usiku wa manane nilikuwa naamka kujibu mapigo.



Umeharibu avocado hilo, aaaah dea mmmh