Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,136
Pole yaaPole sana
Pole yaaPole sana
Yaani we acha tu.
Hiyo ni tabia yake tu mbaya na anataka achafue fani ya unesi huku kuna manesi wana roho nzuri hadi unapenda.
Ila kikubwa anatoa huduma.
Jana na leo
Nina self control huwezi amini, hadi najishangaa lakini....kuna nyakati unakutana na mtu unashangaa tu this creature lazima niseme neno hahahaha, nikitolewa nje wala sio dhambi![]()




Mjinga sanaYaani we acha tu.
Haulizi hali ya mgonjwa wala nini...anaingia anatoa dozi anasepa!
Ila walau kweli huduma anaitoa![]()

Ndio hizo tetesi zinasemekana wapi"Inasemekana"



Daaaah huu msosi naupenda mnooo
Zamani kulikuwa na binadamu pia..kwahiyo yawezekana ikawa kweli.Ndio hizo tetesi zinasemekana wapi
Yaani kwanini yeye
Kwahiyo wewe ni muaminifu kabisa



Karibu 🙂🙂Daaaah huu msosi naupenda mnooo
Kuna chakula kingine pembeni au ndio huto tuchips tu??
Kweli kabisa! Kuna wengi wameenda kwenye unesi ilimradi tu yani ila hawapo huko kiwito kabisaaaMjinga sana
Manesi wa hivyo mimi huwa nawapenda sana.
MUNGU naye anaangalia ndiyo maana hakumpa kuwa daktari mtu mwenye roho ya kishetani namna hiyo
MUNGU anatumia matabibu katika kupitisha uponyaji..km mtu ana element za kishetani namna hiyo basi hiyo kazi haimfai.
😅😅
Linaanzia na herufi gani nikakutafutie