Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,180
- 11,267
Hahaha yebo yebo mna stress Sana hamuelewekiMikia buana
Na mpiga Domo wenu yule sope anaimba taarabu balaa
Hahaha yebo yebo mna stress Sana hamuelewekiMikia buana
Na mpiga Domo wenu yule sope anaimba taarabu balaa
Yesu wanguIlikua poa Sana Kuna jamaa fulani ulikua unambishia Mimi namjua ni mshua alikua rpc kahamia HQ alikuaga kule mkoa naoishi ni rafiki yangu alisemaga nimsetie jf isiwe inaupdate kwenye email nkaona user name yake ulimpelekea motoo[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ivi wanaijua PCM au wana isikia? Kubahatisha kwa kipi? Aseeeh jf kuna watu wamevurugwa.Uzi ulikuwa na vituko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Yaani mdogo wangu kuna watu wa ajabu hii dunia.
Tafuta Uzi wa T.o Kihombo alianzisha baba swalehe uone jinsi watu wanavyopinga ugenius wa T.O aliyepata wastani wa 98 PCM..wanasema alibahatisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Udom iko msituni nje ya mji.Jomoneeeh mbona ni msituni lol,
Waimba taarabuHahaha yebo yebo mna stress Sana hamueleweki
Ndio uzuri wa jf hamna kutishana kila mtu ana maisha yake personal Yule mzee ni mtu mzima ana watoto hata wew mdogo Ila anasema jf anaikubali Sana na yeye alisomaga hkl akaja kusoma Sheria udsm Basi anaona art ngumuu [emoji3][emoji3]Yesu wangu
Huyo nikikutana naye siku ananilima mtama[emoji13][emoji13][emoji1787]na nilivyokuwa na kimwili kidunchu[emoji86]
Yaani wangeona sasa mtu wanayebidhana naye hata wasingehangaika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Shule yenyewe nimeishia form 4 nikasoma astashahada ya sports and games[emoji3]
Zamani sisi tunaanzisha chuo palikua bonge la jangwa ukoka hamnaUdom iko msituni nje ya mji.
college moja hadi nyingine unapita msitu..na siku hizi masika majani yamechipua sana
Ila kwa kishua hatari
Ninong'oneze jina lake[emoji85]Ndio uzuri wa jf hamna kutishana kila mtu ana maisha yake personal Yule mzee ni mtu mzima ana watoto hata wew mdogo Ila anasema jf anaikubali Sana na yeye alisomaga hkl akaja kusoma Sheria udsm Basi anaona art ngumuu [emoji3][emoji3]
Nadhani wanaisikia tu hawa watu wa vishazi tegemezi Wana shida Sana ndio maana Kuna mdau alisema ni janja janja haelewi kwanini bado wanaexist [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ivi wanaijua PCM au wana isikia? Kubahatisha kwa kipi? Aseeeh jf kuna watu wamevurugwa.
Pole Sana. Niliagiza bia za moto nikaletewa ya baridi, nikamuiza muhudumu kama hii ndio mnsita bia ya moto ya baridi itakuwa je?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Washerekeaji watakuwa walikereka sana.
Mimi niliwahi kulala.
Unavyosema sasa utadhani Sasa ni zamani hizo za 1970's enzi tunakua sis wahenga[emoji23]Zamani sisi tunaanzisha chuo palikua bonge la jangwa ukoka hamna
Huku kwetu hatuna haja ya kutumia friji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole Sana. Niliagiza bia za moto nikaletewa ya baridi, nikamuiza muhudumu kama hii ndio mnsita bia ya moto ya baridi itakuwa je?
[emoji3][emoji3][emoji3]2010 first year ingawa kilianza Kama sikosei 2007 palikua bado ni kituko tunakaa haitiUnavyosema sasa utadhani Sasa ni zamani hizo za 1970's enzi tunakua sis wahenga[emoji23]
Yaani yule jamaa comment yake sikupenda ujumbe wake ila alinichekesha kinoma.Nadhani wanaisikia tu hawa watu wa vishazi tegemezi Wana shida Sana ndio maana Kuna mdau alisema ni janja janja haelewi kwanini bado wanaexist [emoji3][emoji3]
😂😂Jomoneeeh mbona ni msituni lol,
Sasa watoto wa juzi nyie.[emoji3][emoji3][emoji3]2010 first year ingawa kilianza Kama sikosei 2007 palikua bado ni kituko tunakaa haiti
Jina lake sikupi wew endeleaga kumchokoza tu siku akupige mitama [emoji3][emoji3] na msala wangu juzi polisi nilisahau nilimkumbuka nikasema naomba mmpgie mzee fulani ndio mlezi wangu [emoji3][emoji3][emoji3] nikashangaa naitwa nitoke akasema nilikua wapi siku zote mpaka nimekaa hvo ndaniNinong'oneze jina lake[emoji85]
Kumbe nilikuwa nabishana na baba zangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila jf kuna vitu nafanya for fun tu..km kipindi kile nilikuwa nalala tu home,nikawa nabishana kusogeza muda.
Kila somo lina ugumu.
Shida yangu kwao ilikuwa moja tu!
Kwanini wanampinga jamaa
Sure 2010 tushakua wababu[emoji16]Sasa watoto wa juzi nyie.
Kwanza hujaanza 2010 wewe
Mungu ambariki Sana aisee.Jina lake sikupi wew endeleaga kumchokoza tu siku akupige mitama [emoji3][emoji3] na msala wangu juzi polisi nilisahau nilimkumbuka nikasema naomba mmpgie mzee fulani ndio mlezi wangu [emoji3][emoji3][emoji3] nikashangaa naitwa nitoke akasema nilikua wapi siku zote mpaka nimekaa hvo ndani
Na sisi wazee tutasemaje sasa[emoji23]Sure 2010 tushakua wababu[emoji16]