Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nilikula ili nisife tu Ila wazoefu walikua wanaona poa tu jamaa wakawa wananiona mtoto wa mama Sana , nimekaa almost mwezi mmoja na kidogo usipime Kaka hakufai
Niliwahi kukaa siku 7 sema nilikuwa naletewa misosi.

Niko to ingia tu jamaa wakaona jinsi nilivyo ulamba wakajua nimekwenda kibahati mbaya hivyo nilipokelewa na manyampala,

Wakaniambi ukisikia filimbi ya kwenda kulala panga mstari nyuma yetu vinginevyo utapelekwa kwenye kunguni.

Basi nikafanya hivyo. Ile tunaingia tu ndani wageni tukapangishwa mstari, sumbuliwa. Jamaa moja alikuwa kapewa cheo cha uwaziri wa afya akaja akachukua jacket langu. Akahisi Kuna kitu akataka kulikata nikamwambia asikate. Aisee iliniweka makofi.

Basi wale jamaa walionikaribisha wakampiga biti.

Wakati wa kulala likakaa Baraza la mawaziri sero, yule jamaa Alie nipiga kofi akavuliwa uongozi, kura zikapigwa nikachaguliwa mimi.

Sasa from day 1 mimi nikawa incaharge wa kugawa maji ya kunywa.

Moja ya mashariti ili upewe Mani mda ukifika unatakiwa usije kifua wazi.

Basi we mda wa kugawa maji unafika, yule waziri alietumbuliwa akaja kifua wazi.

Kimoyo moyo nikasema huyu nitamfunza adabu leo. Alivyo sogea nilimpa makofi mawili ya kiwango cha SGR na maji nikanyima.

gereza zima wakishangilia wakesa kiongozi mpya anafaa.

Ilikuwa 2014 hiyo.
 
Udom iko msituni nje ya mji.
college moja hadi nyingine unapita msitu..na siku hizi masika majani yamechipua sana
Ila kwa kishua hatari
Eeeh ila mandhari mazuri mno, huko mie kungenifaa napenda San utulivu.
Yaan uba2lia kmya buzzy na mambo yako.
 
Niliwahi kukaa siku 7 sema nilikuwa naletewa misosi.

Niko to ingia tu jamaa wakaona jinsi nilivyo ulamba wakajua nimekwenda kibahati mbaya hivyo nilipokelewa na manyampala,

Wakaniambi ukisikia filimbi ya kwenda kulala panga mstari nyuma yetu vinginevyo utapelekwa kwenye kunguni.

Basi nikafanya hivyo. Ile tunaingia tu ndani wageni tukapangishwa mstari, sumbuliwa. Jamaa moja alikuwa kapewa cheo cha uwaziri wa afya akaja akachukua jacket langu. Akahisi Kuna kitu akataka kulikata nikamwambia asikate. Aisee iliniweka makofi.

Basi wale jamaa walionikaribisha wakampiga biti.

Wakati wa kulala likakaa Baraza la mawaziri sero, yule jamaa Alie nipiga kofi akavuliwa uongozi, kura zikapigwa nikachaguliwa mimi.

Sasa from day 1 mimi nikawa incaharge wa kugawa maji ya kunywa.

Moja ya mashariti ili upewe Mani mda ukifika unatakiwa usije kifua wazi.

Basi we mda wa kugawa maji unafika, yule waziri alietumbuliwa akaja kifua wazi.

Kimoyo moyo nikasema huyu nitamfunza adabu leo. Alivyo sogea nilimpa makofi mawili ya kiwango cha SGR na maji nikanyima.

gereza zima wakishangilia wakesa kiongozi mpya anafaa.

Ilikuwa 2014 hiyo.
 
Niliwahi kukaa siku 7 sema nilikuwa naletewa misosi.

Niko to ingia tu jamaa wakaona jinsi nilivyo ulamba wakajua nimekwenda kibahati mbaya hivyo nilipokelewa na manyampala,

Wakaniambi ukisikia filimbi ya kwenda kulala panga mstari nyuma yetu vinginevyo utapelekwa kwenye kunguni.

Basi nikafanya hivyo. Ile tunaingia tu ndani wageni tukapangishwa mstari, sumbuliwa. Jamaa moja alikuwa kapewa cheo cha uwaziri wa afya akaja akachukua jacket langu. Akahisi Kuna kitu akataka kulikata nikamwambia asikate. Aisee iliniweka makofi.

Basi wale jamaa walionikaribisha wakampiga biti.

Wakati wa kulala likakaa Baraza la mawaziri sero, yule jamaa Alie nipiga kofi akavuliwa uongozi, kura zikapigwa nikachaguliwa mimi.

Sasa from day 1 mimi nikawa incaharge wa kugawa maji ya kunywa.

Moja ya mashariti ili upewe Mani mda ukifika unatakiwa usije kifua wazi.

Basi we mda wa kugawa maji unafika, yule waziri alietumbuliwa akaja kifua wazi.

Kimoyo moyo nikasema huyu nitamfunza adabu leo. Alivyo sogea nilimpa makofi mawili ya kiwango cha SGR na maji nikanyima.

gereza zima wakishangilia wakesa kiongozi mpya anafaa.

Ilikuwa 2014 hiyo.
Dah nimecheka Kama mazuri pale ulipompa kelbu huyo jamaa pole Sana chief ni mitihani tu ya dunia uzuri ulionesha ubabe mapema Mimi niliwakuta jamaa zangu niliwahi fanya nao kazi walikua na msala ndio walikua viongozi hvyo angalau sikupata shida sana
 
Achana na PCM

Yule jamaa alipata 99%physics necta.. wanasema alibahatisha
Mchawi mwenyewe hata aague vipi 99 ya physics habahatishi bila kusoma.
Duuuuh physics 99 necta? Aseeeeh alitisha mnoooh,
Sema mie nlkua naskia habari zake pale shule.
Physics kna kubahatisha? Watu tunapata heshima kupitia physics.
 
Nadhani wanaisikia tu hawa watu wa vishazi tegemezi Wana shida Sana ndio maana Kuna mdau alisema ni janja janja haelewi kwanini bado wanaexist
Jaman mie sitakuja kusahau msuli wa PCM ktk maisha yangu yote wallah ivi. Acheni tyuuuh .
Afu m2 analeta utani wake na kejeli, ntakuja kupasua watu pua humu ndani
 
Back
Top Bottom