ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,439
- 119,009
Sawa, malegendary tunajua kwa nini tupo tulipo.
Sawa, malegendary tunajua kwa nini tupo tulipo.
kwema mkuu nazulura tu napumzika pumzika nikirudi kwenye gunia niwe full chargeFresh tu mkuu vipi kwema
Nipo mkuu
Kwanza acha kutaja liver na vitu vya ajabuwew ilibidi ndio uwe man u like father like daughter sijui unafeli wapi na livakuku hio.. mby pameanza kua na foleni nipo mafiat hapa naanzia mbalizi naanza kurudi mpaka uyole


maeneo ya jeshini ? Nmesimama kwanza iyunga hapa tazara nitafune mdudu, unatafuta Nini huko wew binti mbali mno na uyoleKwanza acha kutaja liver na vitu vya ajabu
Hapo foleni ipo siku zote.Ukifika jb iwambi hapa nishtue nikupungie mkono.
Huku ndio home.maeneo ya jeshini ? Nmesimama kwanza iyunga hapa tazara nitafune mdudu, unatafuta Nini huko wew binti mbali mno na uyole
Uliza moderator atakwambia, hizi picha zinatia kichefuchefu. YNWA wakati mtakatifu yupo peke yake hapo?




Hapo unazungumzia nyimbo za Kikongo?Mishono mingi ya vitenge ina-base kwenye shift na solo. Ni kuongeza tu ujanja kidogo ili kitenge kichangamke. Utashona peplum, au off shoulder, kuna hii style ya maputo, tarumbeta n.k. ukitoka hapo aah mbona unanoga mama Mtumishi. Hata plain shift na solo ukizishona vizuri unadamshi kabisaaa.
Hahaha, nimecheka sana!
Visit Rwanda..




Hapo unazungumzia nyimbo za Kikongo?





Hahaha, nimecheka sana!
Hujaona Fly Emirates, najua umejifanya hujaiona...









Sasa juilize kabla ya 2020 hawa loserfool walikuwa wapi, yaani nyie watu natamani malaika ashuke tu!
Tupo wengi sana jamani daddy
Ila daddy yaani unaacha kuwachukia wa Darajani unatuchukia sisi wa mbali tena


Sijui bei yake nimeletewa tu nipige nayo pichaacha nibaki na mtazamo wangu aisee, duu kinywaji gani iko sio Bei ya kiwanja hio ,hapo kilimanjaro zangu sinapata kreti mbili
Nikutekee wapi mimi?unataka uni teke?
Hajasema umkopeshe, kaandika umkopeBarua ya mwenyekit wa mtaa na mhuri wa tendaji na namba ya nida tafadhali vinaitajika![]()
Sasa juilize kabla ya 2020 hawa loserfool walikuwa wapi, yaani nyie watu natamani malaika ashuke tu!![]()




Hivi ujuwe huyu mama mkubwa wako hajawahi kutuambia yeye anaangukia wapi! Au we unajua?
Ma mkubwa kumbe na wewe mgomvi hivyo